
Sports



TUTAWASHANGAZA, MANULA AIBUKA SHUJAA LICHA YA KUPOTEZA
TUTAWASHANGAZA, Manula aibuka shujaa licha ya kupoteza kimataifa ndani ya Spoti Xtra Jumapili

JESHI LA SIMBA DHIDI YA HOROYA CAF
HIKI hapa kikosi cha Simba kitakachoanza dhidi ya Horoya Ligi ya Mabingwa Afrika namna hii:- AISHI Manula Shomary Kapombe Henock Inonga Joash Onyango Mohamed Hussein Sawadogo Kanoute Mzamiru Pape Sakho Jean Baleke Clatous Chama Tags # kitaifa

TUMCHANGIE MDAMU ANAHITAJI MSAADA FAMILIA YA MICHEZO
GERALD Mdamu aliyekuwa nyota wa kikosi cha Polisi Tanzania kwa sasa bado anaendelea kupambana kurejea kwenye ubora baada ya kuumia mguu walipopata ajali ya gari wakitokea mazoezini. Ilikuwa ni Julai 9,2021 ulimwengu wa mpira ulipatwa ganzi baada ya taarifa ya ajali hiyo ya gari kutokea na mchezaji ambaye alipata maumivu makubwa kuwa Mdamu. Reagan Senya…

WAZEE WA MPAPASO KUENDELEZA VIPIGO
WAZEE wa mpapaso, Ruvu Shooting wametamba kuwa kwa sasa ni mwendo wa vipigo kwa kila watakayekutana naye. Timu hiyo mchezo wake uliopita ikiwa Uwanja wa Jamhuri Morogoro ilishinda mabao 2-1 dhidi ya KMC. Ofisa Habari wa Ruvu Shooting, Masau Bwire amesema kuwa hakuna atakayeweza kuwazuia kwa sasa kwenye mwendelezo huo baada ya kuwa kwenye mwendo…

MNYAMA ATAMBA KUMJUA NJE NDANI HOROYA
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa unawatambua kwa umakini wapinzani wao Horoya kutokana na kuwasoma kwa muda kwenye mechi zao pamoja na mbinu ambazo wanacheza. Simba leo Februari 11 ina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa hatua ya makundi ikiwa kundi C na timu nyingine ni Vipers ya Uganda na Raja Casablanca ya Morocco….

MADRID NA KISHINDO FAINALI KOMBE LA DUNIA
HALI ya hewa hapa ni baridi kali lakini haizuii joto la mechi ya fainali ya Kombe la Dunia la Klabu kuwa juu. Licha ya kwamba hakuna timu ya Morocco baada ya Wydad ambao ni mabingwa wa Afrika kutolewa mapema, bado hamu kubwa ya mashabiki ni kuiona Real Madrid. Madrid watacheza fainali hiyo leo Jumamosi kwenye…

MBRAZIL SIMBA AGOMEA KUPAKI BASI, YANGA YAVAMIA UWANJA
MBRAZIL Simba SC:Hatupaki basi, Yanga yavamia uwanja wa Waarabu usiku ndani ya Championi Jumamosi

MECHI ZOTE KALI ZA WIKIENDI HII EPL, SERIE A, LA LIGA, BUNDASLIGA NA LIGUE 1
Suala la kutoa ODDS kubwa sio kitu cha mawazo pale Meridianbet, kuthibitisha hilo tengeneza mkeka wako wa mechi zote kali za wikiendi hii ujizolee ODDS kibao za ushindi, ni EPL, Serie A, La Liga, Bundasliga na Ligue 1 huku fainali ya Kombe la dunia la vilabu ikipigwa ni Madrid vs Al Hilal. Meridianbet wanatoa ODDS…

AZAM FC YAANZA MATIZI KUMVUTIA KASI MNYAMA
KIKOSI cha Azam FC kimeanza maandalizi kwa ajili ya mchezo wao ujao wa Ligi Kuu Bara. Timu hiyo imetoka kupoteza mchezo wake uliopita kwa kushuhudia ubao wa Uwanja wa Jamhuri,Dodoma ukisoma Dodoma Jiji 2-1 Azam FC. Februari 21,2023 saa 1:00 usiku Azam FC itakuwa kwenye kibarua cha kusaka pointi tatu dhidi ya Simba. Katika mchezo…

MERIDIANBET YAGAWA NGUO KWA BODABODA JIJINI DAR ES SALAAM
Bodaboda ni moja ya usafiri unaotumiwa sana na wakazi wa Jiji la Dar Es Salaam, Mkoa wenye idadi kubwa ya watu kulinganisha na mikoa mingine Tanzania kwa mujibu wa sensa ya 2022 ikiwa na watu 5,383,728 ambayo ni sawa na asilimia 8.7 ya watu wote nchini. Usalama wa watu hawa na Madereva ni kitu muhimu…

MORRISON AANZA KUPIGA TIZI KWA SIRI
HABARI njema kwa mashabiki wa Yanga, kuwa kiungo wao mshambuliaji Mghana, Bernard Morrison ameanza mazoezi ya binafsi ya siri kimyakimya. Mghana huyo yupo nje ya uwanja kwa miezi miwili akiuguza maumivu ya nyonga ambayo aliyapata mara baada ya kurejea nchini akitokea kwao Ghana alipokwenda kwa ajili ya matatizo binafsi. Staa huyo ameachwa katika msafara wa…

BALEKE AANDALIWA KUWAMALIZA HOROYA
KOCHA Mkuu wa Simba Mbrazil, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema kuwa mshambuliaji wake mpya Mkongomani, Jean Baleke yupo katika orodha ya wachezaji atakaowatumia katika mchezo wa kesho dhidi ya Horoya AC ya nchini Guinea. Simba jana alfajili walisafiri kuelekea Guinea kucheza mchezo wao wa kwanza wa hatua ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Horoya AC…

MAPYA KUHUSU ATSU TETEMEKO LA UTURUKI
JANA usiku vyombo mbalimbali ya Habari kutoka Uturuki vilitoa taarifa kuwa nyota wa kimataifa wa Ghana Atsu hakuwa ameokolewa kama ambavyo iliripotiwa awali. Taarifa hizo zilikuja mara baada ya viongozi wa klabu yake ya sasa kuzunguka kwenye hospitali zote wakijaribu kumsaka bila mafanikio. Inadaiwa Christian Atsu bado amekwama kwenye kifusi yeye na meneja wake na…

YANGA WAPOKELEWA KIFALME, WAANZA MAZOEZI
YANGA wapokelewa kifalme, waanza mazoezi kwa ajili ya mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika, Tunisia

MERIDIANBET YAFANYA UZINDUZI MKUBWA WA DUKA LA KUBETIA KINONDONI
Unapozungumzia starehe ya kubashiri mchezo huwezi kuwaacha Meridianbet wao ndio mabingwa wa hizi kazi, na kuthibitisha hili, wamezindua dula la kubashiri maeneo ya Kinondoni Mwanamboka. Fika sasa kubeti michezo yote imepewa ODDS kubwa na Machaguo Mengi. Kampuni namba moja ya michezo ya kubashiri mtandaoni Meridianbet wamezindua chimbo jipya la kubetia (duka la kubeti) maeneo ya…