
KMC KUPEWA LAKI TANO NA MERIDIANBET KWA KILA GOLI WATALOFUNGA LIGI KUU
Mdhamini Mkuu wa KMC FC inayoshiriki Ligi kuu ya NBC, Meridianbet Tanzania wameahidi kutoa Tsh 500,000/= kwa kila goli ambalo klabu hiyo itapata katika michezo ya ligi kuu iliyosalia ikiwa na lengo la kutoa motisha kwa wachezaji kupambana zaidi. Odds kubwa za soka unazipata Meridianbet Kasino ya mtandaoni, sloti, Poker, Aviator na Roulette. Akizungumza na…