
TAMKO ZITO, MAYELE AFUNGUKA HATMA YAKE YANGA
TAMKO zito….Mayele afunguka hatma yake Yanga, Simba yashusha chuma kingine cha Rwanda ndani ya Championi Ijumaa
TAMKO zito….Mayele afunguka hatma yake Yanga, Simba yashusha chuma kingine cha Rwanda ndani ya Championi Ijumaa
KWENYE mchezo maalumu wa kutimiza miaka 59 ya Uhuru wa Malawi timu zote mbili zimetoshana nguvu kwa kutofungana. Ubao umesoma Nyasa Big Bullets 0-0 Yanga ambapo Yanga walitumia asilimia kubwa wachezaji wa timu ya vijana. Kwenye mchezo wa leo kiungo Dennis Nkane alipata maumivu yalipolekea ashindwe kuendelea na mchezo huo lakini hali yake kwa sasa…
RASMI Simba imetangaza kocha mpya wa makipa kwa ajili ya kuwa na timu hiyo kwa msimu wa 2023/24. Ikumbukwe kwamba kocha huyo alikuwa ni shuhuda wa Yanga wakitwaa ubingwa wa ligi msimu wa 2022/23 alipokuwa ndani ya Azam FC. Pia alishuhudia Azam FC ikipoteza kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Yanga kwenye mchezo wa fainali…
BONDIA wa ngumi za kulipwa Bongo, Hassan Mwakinyo amefunguka kuhusu Twaha Kiduku ambaye naye pia ni bondia
IMEFAHAMIKA kuwa Singida Fountain Gate tayari imefanikiwa kuwasajili nyota wawili kutoka Yanga, David Bryson na Dickson Ambundo ambao tayari wametambulishwa kwa wachezaji wenzao kupitia Group la WhatsApp. Tayari Ambundo amekutana na ‘Thank You’ Yanga baada ya kutangaza kuachana nao katika msimu ujao kutokana na mkataba wake kumalizika. Chanzo cha habari kutoka kwa mmoja wa viongozi…
YANGA yashusha kiungo, winga, Onana rasmi Simba ndani ya Spoti Xtra Alhamisi
SIMBA wanatarajia kwenda Uturuki kuweka kambi ya maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu Bara, Ligi ya Mabingwa Afrika na mashindano ya ndani ikiwemo Azam Sports Federation (FA) 2023/24. Mataji hayo yote kwa msimu wa 2022/23 yalichukuliwa na watani zao wa jadi Yanga huku Simba ikipishana na mataji yote. Yanga iligotea nafasi ya kwanza kwenye…
HEKAHEKA za usajili kuelekea msimu mpya wa mashindano kwenye Ligi Kuu Bara zimeanza baada ya msimu wa mashindano wa 2022/23 kumalizika. Ipo wazi kuwa Yanga wamefanikiwa kubeba kila kombe kwenye mashindano ya ndani kuanzia Ngao ya Jamii, Ligi Kuu Bara na lile taji la Kombe la Shirikisho la Azam. Timu zote iwe zile zinazoshiriki Ligi…
MSAFARA wa Yanga umewasili salama leo Julai 5 2023 kwa ajili ya mchezo maalumu wanaotarajia kucheza kesho Julai 6. Timu hiyo imepewa mualiko maalumu na Serikali ya Malawi ambapo ni kwenye mchezo maalumu wa kutimiza miaka 59 ya Uhuru. Miongoni mwa wachezaji wa Yanga ambao wapo kwenye kikosi hicho ni pamoja na Metacha Mnata, Clement…
NI Essomba Onana nyota mpya ndani ya kikosi cha Simba ukiwa ni usajili wa kwanza kutangazwa kuelekea msimu wa 2023/24. Nyota huyo amepewa dili la miaka miwili alikuwa anakipiga ndani ya Rayon Sports. Mwamba huyo anakuja kushiriki ligi ya Bongo akitokea Rwanda huku mabingwa watetezi wakiwa ni Yanga. Simba inatarajiwa kuweka kambi Uturuki kwa ajili…
BAADA ya kubaki ndani ya Ligi Kuu Bara kwa ushindi kwenye mchezo wa mtoano KMC imewaandikia mastaa 11 barua za kuwapa mkono wa Thank You. Ni Yanga wamesepa na ubingwa wa ligi kwa msimu wa 2022/23 hivyo KMC nao wanapiga hesabu za kufanya vizuri katika msimu ujao. Ipo wazi kwamba kwenye mechi waliyokutana na Yanga…
MASTAA wawili wametambulishwa ndani ya Azam FC kwa ajili ya msimu wa 2023/24 unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Tayari 2022/23 imegota mwisho huku mabingwa wakiwa ni Yanga waliotwaa taji hilo chini ya Nasreddine Nabi. Yanga kwa sasa inaendelea na maboresho ya timu kupambana na wapinzani wao msimu ujao ikiwa ni pamoja na Azam FC ambao…
KAMBI ya Simba Uturuki balaa, Winga mpya Yanga atumiwa tiketi ya ndege ndani ya Championi Jumatano
WAKATI wa usajili Yanga wakitajwa kuwa kwenye hesabu za kuwania saini ya Kibabage Kisugu amezungumzia suala hilo. Yanga inapambana kujenga kikosi chake kwa ajili ya msimu mpya wa 2023/24 ikiwa imetwaa ubingwa msimu wa 2022/23
KILA mmoja wakati wa usajili anaonekana kuwa na furaha akivutia upande wake kuwa usajili utakuwa bora na imara. Sio Simba, Yanga, Geita Gold mpaka Mtibwa Sugar neno ni moja watafanya usajili mzuri utakaoleta matokeo chanya. Singida Fountain Gate FC hawa wanashiriki mashindano ya kimataifa kama ilivyo Azam FC ambao wameanza kutambulisha mashine zao za kazi….
JULAI Mosi 2023 dirisha la usajili limefunguliwa huku mashabiki wa Simba wakiweka wazi kuwa wanahitaji wachezaji bora ambao watawapa furaha na mataji. Ipo wazi kuwa msimu wa 2022/23 Simba imepishana na mataji muhimu ambayo yamekwenda Yanga. Yanga imetwaa ligi, Ngao ya Jamii na Azam Sports Federation huku Simba ikiambulia nafasi ya pili kwenye ligi
KHALIFA Ababakar Fall ametambulishwa kuwa kocha wa makipa na Ibrahim Diop ni mchambuzi wa mechi (Video Analyst), wote raia wa Senegal ndani ya Azam FC. Ni Julai 3 makocha hao wametambulishwa ndani ya kikosi cha Azam FC kinachotumia Uwanja wa Azam Complex kwa mechi za nyumbani. Timu hiyo ipo kwenye maboresho ya kikosi hicho ambacho…