MERIDIANBET WAPIGWA TSH 54M NA MWARABU KUPITIA KASINO YA MTANDAONI

Sub-Heading: Jisajili Meridianbet leo upate mizunguko 50 ya bure kucheza moja ya mchezo uupendao kuna Aviator, Poker, Titan Roulette na mingine mingi. Kujisajili bonyeza hapa https://a.meridianbet.co.tz/c/srILsF Kuna watu wana bahati sana kwenye Maisha, embu fikiria zali la Tsh milioni Hamsini na Nne na Laki Saba (54,700,000/=) linakuangukia wewe. Hii sio stori tena ni uhalisia kabisa…

Read More

AZAM FC KWENYE KAZI LEO NA MTIBWA SUGAR

LEO Azam FC inatupa kete yake kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali dhidi ya Mtibwa Sugar, Uwanja wa Azam Complex. Mshindi ataungana na Singida ig Stars hatua ya nusu fainali kwa kuwa wao walishatangulia baada ya ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Mbeya City. Azam FC ama Mtibwa Sugar kwa atakayepoteza mchezo wa leo…

Read More

YANGA NI NAMBA MOJA SHIRIKISHO AFRIKA

YANGA ni vinara wa kundi D katika Kombe la Shirikisho Afrika baada ya ubao wa Uwanja wa TP Mazembe kusoma TP Mazembe 0-1 Yanga. Bao la ushindi ni mali ya Farid Mussa huku kipa Metacha Mnata ikiwa ni mchezo wake wa kwanza anga za kimataifa akikamilisha dakika zote 90 bila kutunguliwa. US Monastir ushindi wao…

Read More

SINGIDA BIG STARS HAO NUSU FAINALI

SINGIDA Big Stars imekata tiketi ya kutinga hatua ya nusu fainali Kombe la Azam Sports Federation kwa ushindi wa mabao 4-1 Mbeya City Mchezo huo umechezwa Uwanja wa Liti ikiwa ni hatua ya robo fainali. Watupiaji wa Singida Big Stars ni Bruno Gomes katupia kambani mara mbili Bright Adjei kamba moja Sawa na Francy Kazadi….

Read More

YANGA KUITEKA MAZEMBE

MENEJA Walter Harrison ameweka wazi kuwa watawateka wapinzani wao TP Mazembe na kuchukua pointi tatu ugenini kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya makundi. Leo Yanga ikiwa inaongoza kundi D na pointi 10 baada ya kucheza mechi tano ina kete ya mwisho dhidi ya TP Mazembe mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mazembe. Ipo wazi…

Read More

SIMBA NDANI YA DAR

KIKOSI cha Simba kimewasili salama Dar baada ya kutoka nchini Morocco walipokuwa na mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Simba ilikuwa na kete ya mwisho ilikuwa dhidi ya Raja Casablanca ugenini na ilishuhudia ubao wa Mohamed V ukisoma Raja 3-1 Simba. Bao la Simba lilipachikwa na Jean Baleke dakika ya 48 katika mchezo ambao nahodha…

Read More

CAF YAIPA JEURI KUBWA SIMBA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa tuzo ambazo wamekomba wachezaji wake kwenye mashindano ya kimataifa yanayoandaliwa na Shirikisho la Soka Afrika, (CAF) kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika kumewaongezea hali ya kujiamini. Chini ya Kocha Mkuu, Roberto Oliveira raia wa Brazil imetinga hatua ya robo fainali huku ikitunguliwa nje ndani na Raja Casabalanca. Ni Clatous Chama…

Read More

AZAM FC WAIVUTIA KASI MTIBWA SUGAR

BAADA ya kupoteza matumaini ya kutwaa taji la Ligi Kuu Bara,Azam FC imehamishia nguvu zake kwenye mashindano ya Azam Sports Federation. Ni Aprili 3 itakuwa na kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Mtibwa Sugar mchezo wa hatua ya robo fainali unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex.  Ofisa Habari wa Azam FC,Hasheem Ibwe alisema kuwa wanatambua…

Read More

SIMBA MBELE YA RAJA CASABLANCA WAMETUNGULIWA NJE NDANI

KWENYE hatua ya makundi dhidi ya Raja Casablanca Klabu ya Simba imepigwa nje ndani ndani ya dakika 180. Mchezo ule uliochezwa Uwanja wa Mkapa ubao ulisoma Simba 0-3 Raja Casablanca na kuwafanya wapoteza pointi tatu mazima. Kwenye mchezo wa pili uliochezwa ugenini ubao ulisoma Raja Casablanca 3-1 Simba. Bao pekee la Simba limefungwa na Jean…

Read More

CHAMPIONSHIP KUKIWASHA LEO

MWENYEKITI   wa Mbeya Kwanza, Mohamed Mashango  ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wao wa Championship dhidi ya Green Warrior Uwanja Majimaji,Ruvuma. Mashango  amesema ” Tumejiandaa vizuri tunamshukuru Mungu kila kitu kinaendelea vizuri tumejipanga vizuri tunahitaji pointi tatu tunajua mchezo utakuwa mgumu tupo tayari kwa ajili ya kupambana . “Hali ya wachezaji kwa…

Read More

HUYU HAPA KUPEWA MIKOBA YA ZIMBWE JR SIMBA

WAKIWA na kazi ya kusaka ushindi kwenye mchezo dhidi ya Raja Casablanca mikoba ya nahodha msaidizi wa Simba, Mohamed Hussein Zimbwe Jr inatarajiwa kuwa mikononi mwa Gadiel Michael. Zimbwe atakosekana kwenye mchezo huo unaotarajiwa kuchezwa usiku wa kuamkia Aprili Mosi ikiwa ni mchezo wa hatua ya makundi kwa timu hizo mbili ambazo zimetinga hatua ya…

Read More

SIMBA KUIVAA RAJA CASABLANCA LEO

MCHEZO wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi dhidi ya Raja Casablanca ni leo Machi 31 nchini Morocco. Mchezo huo unachezwa Morocco ikiwa ni Machi 31 lakini Tanzania itakuwa ni Aprili Mosi 2023. Ni mchezo wa mwisho hatua ya makundi kwa timu hizi mbili ambazo zote zimetinga hatua ya robo fainali. Simba inakumbuka mchezo…

Read More