
ROBERTINHO:MLETENI YEYOTE, MILIONI 400 ZAMSHUSHA MRITHI WA MAYELE
ROBERTINHO:Mleteni yeyote tupo tayari, milioni 400 zamshusha mrithi wa Mayele Yanga ndani ya Spoti Xtra
ROBERTINHO:Mleteni yeyote tupo tayari, milioni 400 zamshusha mrithi wa Mayele Yanga ndani ya Spoti Xtra
HASHEEM Ibwe Ofisa Habari wa Azam FC amesema kuwa sababu iliyofanya mchezo wao wa kirafiki kuvunjika katika dakika ya 60 ni kutokana na kutokuwa mchezo wa kiungwana kwa asilimia kubwa. Timu hiyo imeweka kambi Tunisia ikiwa ni kwa ajili ya maandalizi ya msimu wa 2023/24 na wamekuwa wakicheza mechi za kirafiki kuongeza hali ya kujiamini…
LEGEND kwenye masuala ya uandishi wa habari za michezo kitaifa na kimataifa Saleh Jembe amefungukia ishu ya sakata la nyota wawili wa Yanga. Djuma Shaban ambaye ni beki wa Yanga na Yannick Bangala ambaye ni kiraka ndani ya Yanga hawakuwa sehemu ya kikosi kilichotambulishwa Siku ya Mwananchi, Uwanja wa Mkapa. Jembe amefafanua kuhusu suala la…
MANDONGA mtu kazi afungukia ishu ya kupigwa KO
HABIB Kondo ni kocha mpya ndani ya Mtibwa Sugar kwa msimu wa 2023/24 tayari ameanza kazi rasmi. Kocha huyo ana uzoefu na soka la Bongo aliwahi kuifundisha KMC yenye maskani yake Kinondoni. Timu hiyo kambi yake ipo kwenye mashamba ya milima ya miwa pale Morogoro, Manungu. Mtibwa Sugar inatumia Uwanja wa Manungu kwa mechi zake…
CHINI ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi Yanga inaendelea na mazoezi kwa ajili ya msimu mpya wa 2023/24. Ni AVIC Kigamboni Yanga imeweka kambi ikiwa na maingizo ya wachezaji wapya pamoja na wale waliokuwa katika kikosi hicho msimu wa 2022/23. Tayari Yanga imeshafanya utambulisho wa wachezaji wao ikiwa ni pamoja na Nickson Kibabage ambaye alikuwa anakipiga…
KOCHA Mkuu wa Azam FC Youssouph Daho raia wa Senegal Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa matokeo ambayo wanayapata kwenye mechi za kirafiki sio muhimu kikubwa ni kupata majibu wa kile wanachokitafuta. Timu hiyo imeweka kambi Tunisia ikiwa ni maandalizi ya msimu wa 2023/24 ikiwa inacheza na mechi za kirafiki inatambua kwamba mabingwa ni…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatano
MZEE Muchachu shabiki wa Simba amezungumzia kuhusu mipango ya timu hiyo kwa msimu wa 2023/24 pamoja na watani zao wa jadi Yanga na beki wao wa kazi Yannick Bangala. Bangala anatajwa kuwa kwenye mvutano na mabosi wake wa Yanga kuhusu masuala ya mkataba ambapo kandarasi yake inatarajiwa kumeguka 2024 ndani ya Yanga. Beki huyo na…
JULAI 25 droo ya CAF kwa timu ambazo zinazoshiriki mashindano kimataifa imechezwa leo ambapo wawakilishi wa Tanzania bara na visiwani wamewatambua wapinzani wao. Ni Yanga washindi wa pili kwenye Kombe la Shirikisho Afrika msimu wa 2022/23 wao wataanza katika raundi ya kwanza. Klabu ya Yanga chini ya Miguel Gamondi mrithi wa mikoba ya Nasreddine Nabi…
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa siku ya Simba Day ni sikukuu hivyo hawapangi viingilio vikubwa kuwakomoa mashabiki wao. Agosti 6 ni Simba Day ikiwa ni siku ya utambulisho kwa wachezaji pamoja na benchi jipya la ufundi pamoja na lile lililokuwa na timu msimu wa 2022/23. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano…
BAADA ya kumuuza Pape Sakho Simba wamesema kuwa mchezaji yoyote yule watamuuza ikiwa watapata ofa nzuri. Julai 24 timu hiyo ambayo imeweka kambi Uturuki ilicheza mchezo wa kwanza wa kirafiki dhidi ya Zira. Katika mchezo huo walitoshana nguvu kwa kufungana bao 1-1 ikiwa ni maandalizi ya msimu wa 2023/24. Miongoni mwa wachezaji waliopo Uturuki ni…
STRAIKA mpya Yanga SC Mayele mtupu, kocha Yanga ataja sifa tano za kipa Mbrazil ndani ya Spoti Xtra Jumanne nakala yake ni 800 na kuna zawadi za kutosha
IMEELEZWA kuwa nyota watatu wanatarajiwa kutambulishwa siku ya Singida Fountain Gate ikiwa ni zawadi yao kwa mashabiki msimu wa 2023/24. Taarifa zimeeleza kuwa Singida Fountain Gate ambayo imewatambulisha baadhi ya nyota wao ikiwa ni Yahya Mbegu huku ikiwaongezea mikataba Bruno Gomes, Aziz Andambwile bado haijamaliza kusajili. “Kuna wachezaji watatu ambao hawajatajwa popote kwa sasa hao…
CEDRICK Kaze aliyekuwa kocha msaidizi wa Yanga kwa sasa atakuwa Kocha Mkuu Namungo FC. Kaze alipewa mkono wa asante ndani ya Yanga baada ya msimu wa 2022/23 kugota mwisho. Sasa anaibukia ndani ya Namungo FC inayoshiriki Ligi Kuu Bara hivyo atakuwa na nafasi ya kukutana na waajiri wake wa zamani Yanga kwenye mechi za ushindani….
RASMI Simba SC imefikia makubaliano na Klabu ya Quevilly Rouen Metropole (QRM) ya nchini Ufaransa kumuuza mchezaji Pape Sakho. Kiungo huyo ni miongoni mwa viungo bora wenye mambo mengi ndani ya uwanja akiwa na mtindo wa ushangiliaji wa kunyunyiza. Moja ya mabao aliyofunga ndani ya Simba ilikuwa dhidi ya Yanga kwenye mchezo wa Ngao ya…
MIPANGO mikubwa ndani ya Singida Fountain Gate inayoshiriki Ligi Kuu Bara inaendelea ikiwa ni pamoja na siku maalumu ya utambulisho wa wachezaji wao pamoja na benchi la ufundi. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2022/23 ilikuwa inaitwa Singida Big Stars na ilikuwa inatumia Uwanja wa Liti kwa mechi za nyumbani. Msimu wa 2023/24 itakuwa ni Singida Fountain…