
NABI MAFIA AFANYA MABADILIKO, AZAM YAITIBULIA SIMBA
NABI Mafia afanya mabadiliko kikosini, Azam yaitibulia Simba SC kwa kiungo katili ndani ya Championi Jumatano
NABI Mafia afanya mabadiliko kikosini, Azam yaitibulia Simba SC kwa kiungo katili ndani ya Championi Jumatano
LEGEND kwenye masuala ya michezo kitaifa na kimataifa Saleh Jembe amewekwa wazi kuwa Yanga walikosa ubunifu kwenye mchezo dhidi ya USM Alger uliochezwa wa Mkapa Mei 28,2023. Jembe amesema kuwa Yanga bado hawajamaliza mchezo na wana uwezo wa kupata ushindi kwenye mchezo wa pili ikiwa watafanya maandalizi mazuri huku akiweka wazi kuwa kama angeulizwa nani…
MASTAA wa Azam FC wameendelea na program maalumu kwa ajili ya kuwakabili wapizani wao Wagosi wa Kaya, Coastal Union kwenye mchezo wao ujao wa ligi. Kwenye uwanja huo Azam FC wanatarajiwa pia kucheza mchezo wa fainali ya Azam Sports Federation dhidi ya Yanga mchezo unaotarajiwa kuchezwa Juni 12. Yanga ni mabingwa watetezi walitinga fainali kwa…
WAARABU waondoka na Mayele, Chama ataja kilichowaponza ndani ya Spoti Xtra Jumanne
LEGEND kwenye masuala ya michezo ardhi ya Tanzania anga za kitaifa na kimataifa Saleh Jembe amezungumzia kuhus mchezo wa Yanga dhidi ya USM Alger uliochezwa Uwanja wa Mkapa Mei 28,2023. Ilikuwa ni fainali ya kwanza kwa Yanga na ubao ulisoma Yanga 1-2 USM Alger, kwenye mchezo huo hali ya hewa ilkuwa ni mvua jambo ambalo…
ROBERTO Oliveira, Kocha Mkuu wa Simba ameweka wazi kuwa anahitaji kupata viungo wengine wawili wa kazi kwenye kikosi hicho ili kuongeza ushindani wa namba. Timu hiyo imepishana na ubingwa ambao umekweda kwa watani zao wa jadi Yanga. Sifa za nyota ambao anawahitaji ni kama ilivyo kwa kiungo mshambuliaji Sadio Ntibanzokiza mwenye mabao 10 na pasi…
BAADA ya kupoteza kwa kushuhudia ubao wa Uwanja wa Mkapa ukisoma Yanga 1-2 USM Alger kwenye hatua ya kimataifa mashabiki wameweka wazi kuwa bado kuna dakika 90 za ugenini ambazo watapambana kupata ushindi. Yanga inakwenda kupambana Juni 3,2023 huku wakiweka wazi kuwa Fiston Mayele anaweza kwenda kufunga mabao saba mpaka 9
TULIENI hawa tunao, mkata umeme Sima kuchota milioni 350 ndani ya Championi Jumatatu
NASREDDINE Nabi Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa ado mchezo haujaisha kwenye anga la kimataifa licha ya kupoteza kweye fainali ya kwanza. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Mkapa umesoma Yanga 1-2 USM Alger ya Algeria. Bao pekee la Yanga limefungwa na Fiston Mayele ambaye anafikisha jumla ya mabao 7 kwenye anga za…
WAKIWA mashuhuda wa ubingwa wa Ligi Kuu Bara ukielekea kwa watani zao wa jadi Yanga, Simba wametusua katika vigongo vitatu vizito. Yanga imetwaa ubingwa wa ligi ikiwa na pointi 74 baada ya kucheza mechi 28 wawa na Simba yenye pointi 67. Ni safu ya ushambuliaji iliyofunga mabao mengi katika hili mastaa wa Simba walipambana kupachika…
ABULEKH Banchikha, Kocha Mkuu wa USM Alger ameweka wazi kuwa mchezo wao wa leo hawatacheza na mshambuliaji Fiston Mayele wa Yanga. Mayele ni kinara wa utupiaji ndani ya kikosi cha Yanga kwenye anga la kimataifa akiwa ametupia mabao sita. Yupo sawa na yule wa Marumo Gallants anayeitwa Ranga Chivaviro lakini timu hiyo imegotea hatua ya…
BEKI wa Yanga Dickson Job ameweka wazi kuwa wanatambua ubora wa wapinzani wao USM Alger na wamejiandaa kufanya kazi nzuri kwenye kuzuia kesho mchezo wa hatua ya fainali Kombe la Shirikisho Afrika, Uwanja wa Mkapa
MWANAHAMISI Omary, ‘Gaucho’ afungukia kuhusu maisha yake na kile ambacho anapenda kukifanya kila siku kwenye maisha yake. Nyota huyo ni miongoni mwa Legend kwenye Soka la Wanawake na walipokuwa wakikutana na watani zao wa jadi Yanga Princess alikuwa akiwapa tabu ndani ya uwanja.
MAYELE: Hawa USM Alger siwaachi, bosi mpya Simba SC apewa faili la mkata umeme ndani ya Championi Jumamosi
NYOTA Yanga afungukia ishu ya fainali kimataifa ni David Bryson amesema kuwa hawana hofu na wamejiaandaa kwa umakini kwa ajili ya mchezo huo. Yanga inatarajiwa kucheza dhidi ya USM Alger kwenye hatua ya fainali ya kwanza Kombe la Shirikisho Afrika.
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa ka sasa hali ya kiungo wao Hassan Dilunga ambaye hakuwa fiti kutokana na kupambania afya yake imezidi kutengamaa. Kwenye ligi Simba ipo nafasi ya pili ikiwa na pointi 67 na vinara ni Yanga wenye pointi 74. Yanga wametwaa taji la ligi ikiwa imebakiwa na mechi mbili mkononi. Dilunga hakuwa…
MAJEMBE saba yanayovuja jasho la haki ndani ya kikosi cha Simba yamewapa kicheko Simba wakiamini kuwa hawajabahatisha kupenya kwenye orodha ya kuwania tuzo bali ubora umewabeba. Ipo wazi kwamba Yanga ni mabingwa wa msimu wa 2022/23 huku Simba ikigotea nafasi ya pili. Pia Yanga Mei 28 2023 inakwenda kucheza mchezo wa fainali ya Kombe la…