SIMBA YATOSHANA NGUVU NA AL AHLY

MCHEZO wa African Football League ambao ni wa ufunguzi Simba imetoshana nguvu na Al Ahly. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Mkapa umesoma Simba 2-2 Al Ahly. Mabao ya Simba yamefungwa na Kibu Dennis na Sadio Kanoute huku yale ya Al Ahly yakifungwa na Slim na Kahraba kwenye mchezo huo uliokuwa na ushindani…

Read More

AFRICAN FOOTBALL LEAGUE SIMBA 0-1 AL AHLY

UKIWA ni mchezo wa ufunguzi wa African Football League, mashabiki wa Simba wameshuhudia namna mbinu za Kocha Mkuu, Roberto Oliveira kikiwa nyuma. Dakika 45 ubao wa Uwanja wa Mkapa unasoma  Simba 0-1 Al Ahly Mtupiaji kwenye mchezo huo ambao una ushindani mkubwa kwa timu zote ni Reda Slim aliyetumia makosa ya safu ya ulinzi ya…

Read More

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA AL AHLY

HIKI hapa kikosi cha Simba dhidi ya Al Ahly, African Football League. Uwanja wa Mkapa ikiwa ni mchezo wa ufunguzi kipo namna hii kikosi cha kwanza:- Ally Salim Shomari Kapombe Mohamed Hussein, Che Malone, Mzamiru Yassin Fabrice Ngoma Clatous Chama Kibu Dennis Saido Ntibanzokiza Luis Miquissone

Read More

TIMU 24 KUSHIRIKI AFL MSIMU UJAO

Rais wa Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF), Patrice Motsepe ameweka wazi kuwa msimu ujao kutakuwa na timu shiriki 24 kwenye African Football League ambayo inatarajiwa kufunguliwa rasmi leo Oktoba 20, 2023. Ni ardhi ya Tanzania, Uwanja wa Mkapa umepata fursa ya kuzindua mashindano hayo makubwa ambayo yanafuatiliwa na wengi duniani yakifanyika kwa mara ya…

Read More

KIGONGO CHA KWANZA CHA KOCHA MPYA SINGIDA FOUNTAIN GATE

RICARDO Ferreira, Kocha Mkuu wa Singida Fountain Gate anatarajiwa kukiongoza kikosi hicho kwenye mchezo wa ligi dhdi ya Namungo FC utakaochezwa Uwanja wa Majaliwa, utakaochezwa Jumamosi. Kikosi cha Singida Fountain Gate kimewasili Ruangwa salama salmini kwa maandalizi ya mwisho ya mchezo huo. Miongoni mwa wachezaji waliopo kwenye msafara huo ni Meddie Kager, Beno Kakolanya, Gadiel…

Read More

SIMBA V AL AHLY, HISTORIA NYINGINE INAKWENDA KUANDIKWA

HISTORIA inakwenda kuandikwa kwa Simba kuwa wafunguzi wa African Football League ambapo leo Oktoba 20, 2023 mchezo wa ufunguzi unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Chini ya Kocha Mkuu, Roberto Oliveira Simba itakuwa na kazi ya kusaka ushindi kwenye mchezo dhidi ya Al Ahly kutoka Misri ambao nao pia wanahitaji ushindi kwenye mchezo wa leo. Ahmed…

Read More

YANGA V AZAM KITAUMANA KWA MKAPA

KITAUMANA Oktoba 23 Uwanja wa Mkapa kwa wababe wawili kusaka pointi tatu muhimu ndani ya dakika 90. Yanga dhidi ya Azam FC watakuwa kazini kwenye mchezo wa Mzizima Dabi. Yanga chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi inapambana kuendeleza rekodi nzuri ya kupata ushindi dhidi ya Azam FC wa mabao 2-0 walipokutana kwenye mchezo wa Ngao…

Read More

CHEZA AVIATOR KWA WINGI UPATE BETI ZA BURE MWEZI HUU

Kama ilivyo kawaida, Meridianbet inaendelea kuwavutia wateja wao ambapo safari hii wamekuja na promosheni kabambe kutoka kwenye mchezo wao wa kasino maarufu kama Aviator ambao ulianza toka tarehe 12 na uanendelea hadi mwisho wa mwezi. Promosheni hiyo imekuja na kwa lengo la kutoa beti za bure kwa wale wateja wao ambao wanacheza mchezo huo wa…

Read More

NYOTA WA AZAM FC WASUKWA KUIKABILI YANGA

ZIMEBAKI siku tatu kabla ya Mzizima Dabi kupigwa ndani ya Uwanja wa Azam Complex, mastaa wa Azam FC ikiwa ni pamoja na Prince Dube, James Akamiko, Idd Suleiman, (Nado) wanapewa mbinu kuikabili Yanga. Mastaa hao wapo chini ya Kocha Mkuu, Yusuph Dabo aliyetoka kukiongoza kikosi kusepa na pointi tatu ugenini dhidi ya Coastal Union, kwenye…

Read More

MAJEMBE YA GAMONDI YANGA HAYA HAPA

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga katika kikosi chake ana majembe mawili ya kazi yanayompa kiburi cha kuwa imara kwenye upande wa ulinzi kutokana na kuwapa nafasi mara kwa mara. Katika Ligi Kuu Bara, Yanga kwenye mechi tano ilizocheza ilitunguliwa mabao mawili pekee ubao wa Uwanja wa Highland Estate ulisoma Ihefu 2-1 Yanga, bao la…

Read More

MASHINE ZA KUWAMALIZA WAARABU ZATAJWA NA SIMBA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa uwepo wa wachezaji wanaofanya vizuri kwenye kikosi hicho eneo la uwanja wa mazoezi ni nguvu kubwa kuelekea mchezo wao dhidi ya Al Ahly unaotarajiwa kuchezwa Oktoba 20. Kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliveira kinaendelea na mazoezi kuelekea mchezo wa African Football League  utakaochezwa Uwanja wa Mkapa….

Read More