
AZAM FC YAMTAMBULISHA KOCHA IBENGE KWA KISHINDO!
Klabu ya Azam FC leo Julai 5, 2025 imemtambulisha rasmi Florent Ibenge kuwa kocha mkuu mpya wa kikosi hicho, kupitia ukurasa wao wa Instagram kwa ujumbe mfupi lakini mzito uliosema: “Karibu Azam FC, kocha bora Afrika – Florent Ibenge.” Utambulisho huo umethibitisha kile ambacho mashabiki wa soka walikuwa wanakisubiri kwa hamu: ujio wa kocha mwenye…