Hiki hapa kikosi cha Yanga SC vs Tanzania Prisons
Tanzania Prisons vs Yanga SC ni leo Machi 12,2026 saa 2:00 usiku. Hiki hapa kikosi cha Yanga SC ambacho kinatarajiwa kuanza:- Langoni Djigui Diarra Mabeki: Israel Mwenda, Zimbwe Jr, Nondo, Bacca. Viungo ni Damaro, Abuya, Maxi, Mudathir na Okello. Mshambuliaji ni Prince Dube. Akiba: Masalanga, Abubakari, Assink, Andabwile, Yao, Abdulnasir, Shekhan, Edmund, Bupa, Depu. ***…