Azam FC vs Singida Black Stars wakubwa kazini
DESEMBA 3,2025 Ligi Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea ambapo wakubwa wawili watakuwa kazini katika msako wa pointi tatu muhimu. Azam FC chini ya Kocha Mkuu, Florent Ibenge vs Singida Black Stars chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi mbinu zao zitakuwa zinapambana. Hii ni ligi namba nne kwa ubora Afrika imekuwa na ushindani mkubwa huku mabingwa…