Azam FC vs Singida Black Stars wakubwa kazini

DESEMBA 3,2025 Ligi Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea ambapo wakubwa wawili watakuwa kazini katika msako wa pointi tatu muhimu. Azam FC chini ya Kocha Mkuu, Florent Ibenge vs Singida Black Stars chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi mbinu zao zitakuwa zinapambana. Hii ni ligi namba nne kwa ubora Afrika imekuwa na ushindani mkubwa huku mabingwa…

Read More

Miguel Gamondi Atangaza Kikosi cha Awali cha Taifa Stars kwa AFCON 2025

Kocha wa Taifa Stars, Miguel Gamondi, ametangaza leo Desemba 3, 2025, kikosi cha awali cha wachezaji 53 kitakachoshiriki maandalizi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON). Kikosi hiki, kinachojumuisha wachezaji wanaoshughulika kwenye ligi za ndani na nje ya Tanzania, kitaratibiwa kuondoka nchini Disemba 8, 2025, kuelekea Nchi ya Misri, kwaajili ya kambi ya maandalizi kabla…

Read More

Arsenal Wakiendelea Kileleni: Je, Ni Nani Anaoweza Kuwashinda? Kubeba Ubingwa EPL

Zaidi ya miongo miwili imepita tangu Arsenal walipopata taji la mwisho la Premier League katika msimu wao wa kihistoria wa The Invincibles. Kwa kipindi chote hicho, timu hiyo imekumbana na vipindi vya kutokuwa na uthabiti, mapambano, na wakati mwingine kiwango cha chini kuliko kilichotarajiwa. Hata hivyo, msimu huu inaonekana kuwa tofauti. Arsenal inaonekana kuwa na…

Read More

Simba SC njiani kurudi Bongo baada ya kipigo ugenini

WAWAKILISHI wa Tanzania katika anga la kimataifa Simba SC baada ya kupoteza mchezo wa pili hatua ya makundi wanatarajia kuwasili kwenye ardhi ya nyumbani Novemba 2,2025. Tayari kikosi hicho chini ya Meneja Mkuu, Dimitar Pantev kimeanza safari kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Bamako Senou, Mali tayari kuanza safari ya kurejea Dar, kupitia Addis…

Read More