Tanzania Prisons vs Yanga SC kupigwa Tabora?
Tanzania Prisons vs Yanga SC kupigwa Tabora? Ni swali ambalo linaulizwa ni baada ya wenyeji kubainisha kuwa watakuwa Tabora kwenye mechi zinazofuata. Wapinzani hawa wawili wanatarajiwa kukutana Machi 12,2026 kwenye msako wa pointi tatu muhimu ndani ya uwanja. Ipo wazi kwamba Prisons wamekuwa wakitumia Uwanja wa Sokoine kwa mechi za nyumbani uliopo Mbeya kutokana na…