CAFCL: Sare Kabylie na AS FAR, Yanga Yapata Matumaini

Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) kundi B imeendelea kwa ushindani mkubwa huku kila timu ikiwa tayari imecheza mechi tatu za awamu ya makundi. Katika matokeo ya mwisho: JS Kabylie 0-0 AS FARMechi kali iliyochezwa kwa tahadhari kubwa, timu zote zikigawana pointi moja bila kufungana. Al Ahly 2-0 Yanga SCMabingwa hao wa Afrika walionyesha…

Read More

Meridianbet Yatoa Vifaa vya Usafi Mbezi Juu, Yashiriki Zoezi la Usafi wa Mazingira

Meridianbet imechagua kuuangalia usafi wa mazingira kama nguzo muhimu ya maendeleo ya jamii. Kupitia ushiriki wake katika shughuli za usafi Kata ya Mbezi Juu, kampuni hiyo imelenga kuonesha kuwa mazingira safi yana mchango mkubwa katika kuboresha afya, tija ya wananchi na ustawi wa kijamii kwa ujumla. Meridianbet ililenga kuwawezesha wananchi kwa vitendo. Kampuni hiyo ilitoa…

Read More

Bashiri Leo Upate Samsung A26 na Meridianbet

Una nafasi ya kumiliki simu ya ndoto zako na Meridianbet ambapo kwa kubashiri mechi za mpira wa miguu ni rahisi sana kuchukua Samsung A26 yako. Unangoja nini kubashiri sasa? Katika msimu huu wa burudani na ushindani mkali ndani ya ulimwengu wa soka, Meridianbet imewasha moto mpya unaowapa wachezaji wote sababu ya kuongeza hamasa wanapotazama na…

Read More

Al Ahly vs Yanga SC, Januari 23,2026

Al Ahly vs Yanga SC CAF Champions League ni Januari 23,2026 ambapo wababe hawa wawili wanatarajiwa kuwa uwanjani kusaka pointi tatu muhimu hatua ya makundi. Msafara wa Yanga SC umeshatia timu Misri kwa maandalizi ya mwisho chini ya Kocha Mkuu, Pedro Goncalves akiwa na wachezaji wapya miongoni mwao ni Depu na Allan Okelo. Goncalves ameweka…

Read More

Waziri Makonda Afanya Mazungumzo na Rais wa FIFA Gianni Infantino Morocco

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mheshimiwa Paul Makonda amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Shirikisho la Kandanda Duniani (FIFA) Bw. Gianni Infantino katika ofisi za FIFA zilizopo Jijini Rabat, nchini Morocco. Katika mazungumzo hayo Mheshimiwa Makonda amemshukuru Bw. Infantino kwa ushirikiano mkubwa anaoutoa kwa Tanzania katika maendeleo ya mchezo wa mpira wa…

Read More