Huu hapa msimamo wa NBC Premier League
Huu hapa msimamo wa NBC Premier League ambapo vinara ni JKT Tanzania wanafuatiwa na Yanga SC nafasi ya pili. KMC FC inaburuza mkia mara baadayakupoteza mchezo uliopita vs Azam FC.
Huu hapa msimamo wa NBC Premier League ambapo vinara ni JKT Tanzania wanafuatiwa na Yanga SC nafasi ya pili. KMC FC inaburuza mkia mara baadayakupoteza mchezo uliopita vs Azam FC.
Tanzania Prisons 0-2 Simba SC ni matokeo yaliyopita kwa mnyama. Kwenye mechi 5 za hivi karibuni, Simba SC imepata ushindi mechi 3 na sare mechi 2. Tanzania Prisons haijawa kwenye ubora na katika mechi 5, ushindi moja, sare moja na kupoteza mechi 3. Watupiaji ni Seleman Mwalimu dakika ya 19 na Rushine de Reuck dakika…
Kiungo mshambuliaji wa Sport Lisboa e Benfica, Gianluca Prestianni (20), amepewa adhabu ya kusimamishwa kwa muda mechi moja na UEFA kufuatia tuhuma za kutoa kauli ya kibaguzi dhidi ya Vinícius Júnior wa Real Madrid CF. Tukio hilo lilitokea katika mchezo wa mkondo wa kwanza wa play-off ya UEFA Champions League uliochezwa Lisbon wiki iliyopita. Vinícius…
Arsenal, Paris Saint-Germain na Barcelona zote zinaonyesha nia kubwa ya kumsajili Julián Álvarez kutoka Atlético Madrid. Kwa mujibu wa Gazeti la Michezo la Hispania, DiarioAS Arsenal tayari waliwasilisha ofa ya thamani ya euro milioni 120, lakini Atlético waliikataa wakionyesha kuwa hawapo tayari kumuachia kirahisi mshambuliaji huyo. Sasa inasubiriwa kuona kama kutakuwa na ofa mpya au…
Je unajua kuwa Meridianbet ndio wakali wa Odds Tanzania?. Yaani namaanisha kuwa ukitaka Odds kubwa na za kibabe wewe njoo hapa na ubashiri leo. Lakini pia unaweza ukaibuka bingwa kwani machaguo ni mengi hapa. Moto utawaka katika dimba la BayArena, Bayer Leverkusen atakuwa mwenyeji wa Olympiacos kutoka kule Ugeriki ambao leo hii hawapewi nafasi kubwa…
Maandalizi ya kumpokea Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba leo Februari 24, 2026 katika uwanja wa mpira wa miguu Arusha ambao ni miongoni mwa viwanja vitakavyotumika katika mashindano ya Soka Barani Afrika (AFCON) 2027
Klabu ya FC Barcelona imeendelea kufanya vyema kwenye michuano yote msimu huu huku wakiwa na malengo ya kuchukua makombe yote msimu huu. Meridianbet wanakwambia kuwa bashiri mechi zote za Barca hapa. Barcelona imekuwa katika safari yenye ushindani mkubwa msimu huu, ikishiriki mashindano yote makubwa kwa malengo ya kurejesha hadhi yake ya juu barani Ulaya. Ingawa…
Vigogo wa soka Tanzania, Simba na Yanga usiku wa kuamkia leo Februari 23, 2026 wameendeleza ushindani mkali wa kuwania taji la Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuibuka na ushindi muhimu katika michezo yao ya jana. Katika Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma, Simba walionyesha ubora wao kwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya…
Arsenal wameonyesha ubabe kwa kuichapa Tottenham Hotspur mabao 4-1 katika dabi kali ya London, ushindi unaowasogeza kileleni mwa Premier League. Kwa ushindi huo, Arsenal wamefikisha pointi 61 baada ya mechi 28, wakisogea kwa tofauti ya alama tano dhidi ya Manchester City ambao wana mchezo mmoja mkononi. ⚽ Magoli yalifungwa na: Kolo Muani (34’) Eze (32’,…
Wapenzi wa kasino na michezo ya mtandaoni, ingawa msimu wa Halloween umepita lakini bado Meridianbet inaendelea kukupatia burudani isiyo na kifani kupitia Trick or Treat Bonanza, mchezo ambao unachanganya ladha ya Halloween na fursa za ushindi wa kweli. Karibu katika Haunted Candy Realm, ulimwengu wa ajabu uliojaa pipi za kuogofya, vishawishi vya kutisha, na zawadi…
MTIBWA Sugar 1-3 Singida Black Stars, (SBS) ni matokeo rasmi mchezo wa NBC Premier League uliochezwa mapema leo Februari 22,2026 Uwanja wa Jamhuri, Dodoma. Wageni Singida Black Stars wamewatuliza wenyeji kwenye mchezo wa leo ambao ulichezwa saa 8:00 mchana katika msako wa pointi tatu muhimu. Magoli ya SBS yamefungwa na Ndumumwe Mossi dakika ya 5,…
Je unajua kuwa Meridianbet ndio wakali wa Odds Tanzania?. Yaani namaanisha kuwa ukitaka Odds kubwa na za kibabe wewe njoo hapa na ubashiri leo. Lakini pia unaweza ukaibuka bingwa kwani machaguo ni mengi hapa. LALIGA kama kawaida kuna mitanange ya kukata na shoka Getafe ataumana vikali dhidi ya Sevilla ambapo tofauti ya pointi kati yao…
Soko la burudani ya michezo ya mtandaoni limepata sura mpya kupitia Vaso Psycho, toleo jipya la mchezo wa kasino mtandaoni lililoboreshwa kutoka Expanse linalopatikana ndani ya Meridianbet. Huu ni zaidi ya michezo iliyozoeleka, yaani ni hatua mpya ya ubunifu inayowapa wachezaji uzoefu wa kisasa zaidi, wenye kasi na fursa kubwa za ushindi. Katika mchezo huu…
Chelsea F.C. 1️⃣ ➖ 1️⃣ Burnley F.C. Chelsea wameshindwa kuibuka na ushindi baada ya kulazimishwa sare ya 1-1 dhidi ya Burnley katika mchezo uliokuwa na drama hadi dakika za majeruhi. ⚽ Dakika ya 4, João Pedro aliitanguliza Chelsea kwa pasi ya Pedro Neto, akiwapa mashabiki matumaini ya ushindi wa mapema. 🟥 Dakika ya 72, mambo…
Kiungo na nahodha wa Manchester United, Bruno Fernandes anaripotiwa kuwa kwenye rada ya vilabu vikubwa barani Ulaya pamoja na Mashariki ya Kati. klabu ya Paris Saint-Germain, FC Bayern Munich, pamoja na vilabu kadhaa vya Saudi Arabia vinaonesha nia kubwa ya kumsajili nyota huyo raia wa Ureno. Ripoti hiyo inaongeza kuwa Manchester United huenda ikafikiria kumuuza…
Leo ni siku ya mapambano makubwa kwenye ligi top barani Ulaya — LaLiga, Serie A, EPL na Bundesliga zote moto 🔥 🇪🇸 LaLiga 🔹 Real Sociedad 🆚 Real Oviedo – Tofauti pointi 15, wenyeji wanataka kuendelea kukaza juu ya msimamo. 🔹 Real Madrid 🆚 Osasuna – Madrid wanaongoza kwa tofauti ya pointi 30! Je, wataendeleza…
Je unajua kuwa siku ya leo unaweza ukaondoka na tabasamu ndani ya Meridianbet?. Mechi nyingi za ushindi zipo uwanjani leo hivyo suka jamvi lako na uanze safari ya ushindi hapa. Tukianza na Iigi kuu ya Hispania, yaani LALIGA nayo kuna mechi za pesa ambapo Real Sociedad atakuwa nyumbani kusaka ushindi dhidi ya Real Oviedo ambapo…