Ronaldo na Familia Yake Waondoka Saudi? Ndege Yake Yatua Madrid
Ndege binafsi ya kifahari ya thamani ya pauni milioni 61 inayomilikiwa na nyota wa soka Cristiano Ronaldo imeripotiwa kuondoka Saudi Arabia kuelekea Madrid usiku wa kuamkia leo Machi 3, 2026 wakati hali ya usalama ikiendelea kuwa tete mjini Riyadh. Ronaldo, mwenye umri wa miaka 41, anaishi katika mji mkuu huo wa Saudi pamoja na mpenzi…