Jonathan Sowah hatihati kuondoka Simba SC

MSHAMBULIAJI namba moja wa Simba SC, Jonathan Sowah kuna hatihati kuondoka ndani ya kikosi hicho kutokana na tatizo la nidhamu. Sowah ndani ya NBC Premier League amefunga magoli matatu akiwa ni miongoni mwa wachezaji wenye magoli mengi ndani ya kikosi hicho. Kwa sasa Sowah hayupo kwenye mipango ya timu hiyo kutokana na kile kilichoelezwa alisimamishwa…

Read More

Barcelona Inaweza Kuwa na Kipaumbele Kumchukua Erling Haaland

Victor Font, mgombea urais wa Barcelona, ameeleza kwamba Erling Haaland ndiye lengo lake kubwa, akionyesha kwamba klabu ya LaLiga inaweza kuwa na kipaumbele kumchukua mshambuliaji huyo ikiwa ataamua kuondoka Manchester City. Font alisema: “Haaland ni mmoja wa washambuliaji bora duniani. Tumejizatiti kuwa tutakuwa na kipaumbele kumchukua ikiwa atataka changamoto mpya.” Haaland, 25, alisaini mkataba wa…

Read More

Hiki hapa kikosi cha Yanga SC vs Tanzania Prisons

Tanzania Prisons vs Yanga SC ni leo Machi 12,2026 saa 2:00 usiku. Hiki hapa kikosi cha Yanga SC ambacho kinatarajiwa kuanza:- Langoni Djigui Diarra Mabeki: Israel Mwenda, Zimbwe Jr, Nondo, Bacca. Viungo ni Damaro, Abuya, Maxi, Mudathir na Okello. Mshambuliaji ni Prince Dube. Akiba: Masalanga, Abubakari, Assink, Andabwile, Yao, Abdulnasir, Shekhan, Edmund, Bupa, Depu. ***…

Read More