
UJIO WA MERIDIANBET NI NEEMA PALE MAGOMENI MAKUT
Leo hii tarehe 25 mwezi Januari, Meridianbet imliamua kuwatembelea wakazi wa Magomeni Makuti na kuwapatia msaada wa vyakula ambavyo vitaweza kuwakimu kwenye maisha yao ya kila siku. Msaada huu ambao Meridianbet imetoa wa vyakula kwa jamii ya Magomeni Makuti, ikiwemo mchele, unga, maharage, mafuta ya kupikia, na bidhaa nyingine muhimu za kimsingi vitawasaidia sana. Msaada…