MKWANJA UPO KASINO YA MTANDAONI MERIDIANBET

Kama ulikuwa unadhani umeona vingi au kufanya vingi, basi sahau kabisa bado kuna vingi sana huvijui na leo nakusogezea mchongo ambao huenda unaujua au huujui unahitaji kuufahamu, ni kutoka kasino ya mtandaoni. Kupitia kasino ya mtandaoni kuna sloti ya kupiga hela kirahisi sana, cheza kasino ya mtandaoni mchezo wa Dream Catcher unaokupa nafasi ya kutimiza…

Read More

SINZA UZURI YAFIKIWA NA MERIDIANBET

Leo imekua siku nzuri kwa familia kadhaa katika eneo la Sinza Uzuri ambapo Meridianbet wamefika katika eneo hilo wakihakikisha wanarejesha furaha kwa familia hizo kwa kutoa mahitaji ambayo yatawasaidia. Meridianbet leo wamefika eneo la Sinza Uzuri jijini Dar-es-salaam na kuhakikisha wanatoa msaada wa mahitaji ya chakula kwa familia kadhaa ambazo hazina uwezo wa kutosha, Hii…

Read More

JIUNGE NA MASHINDANO YA EXPANSE SLOT YA MERIDIANBET UPATE NAFASI YA KUSHINDA.

Wapenzi wa michezo ya kubashiri mnaalikwa kushiriki katika Mashindano ya Expanse Slot, yaliyopo mubashashara katika tovuti ya Meridianbet hadi Desemba 31, 2024. Tukio hili maalum linapatikana kwa wachezaji wote waliosajiliwa kwenye tovuti na programu ya Meridianbet. Washiriki wanayo nafasi ya kushiriki michezo mbalimbali ya Expanse slot na kushindania zawadi za kusisimua. Ili kushiriki mashindano haya,…

Read More

WATUMISHI WAASWA KUJIANDAA MAPEMA KABLA YA KUSTAAFU

WATUMISHI wa magereza wameshauriwa kuwekeza kwa busara katika sekta mbalimbali wakiwa bado kazini, ili kujihakikishia maisha mazuri na endelevu baada ya kustaafu. Ikumbukwe kwamba kuna uwekezaji kwenye sekta mbalimbali ikiwa ni pamoja na michezo ambayo wapo wamiliki wa maduka ya vifaa vya michezo wanatengeneza mkwanja humo huku wakiwa wanaendelea na kazi pamoja na fursa mbalimbali…

Read More

WAZIRI MKUU MAJALIWA AFIKA LILIPOPOROMOKA JENGO KARIAKOO – ATOA TAMKO la SERIKALI…

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Mambo ya Ndani kwa kushirikiana na Kamati za Ulinzi kuhakikisha manusura waliofukiwa na kifusi cha ghorofa lililoporomoka Wanaokolewa Aidha, Waziri Mkuu ameagiza Mitungi ya Hewa ya #Oxygen ipelekwe kwenye eneo hilo ili kuwasaidia manusura waliopo chini ambao bado hawajaokolewa wakati zoezi la uokozi likiendelea Hadi sasa watu kadhaa…

Read More

RUSHWA YA NGONO SABABU YA KUDUMAZA VIPAJI KWA WANAWAKE

SOKA la Wanawake linazidi kukua kila iitwapo leo kutokana na wachezaji kupata fursa ya kucheza kitaifa na kimataifa. Yote haya yanatokana na jitihada ambazo zinafanyika kila siku kwenye kupunguza changamoto huku rushwa ya ngono ikitajwa kuwa miongoni mwa sababu zinazodumaza vipaji hivyo ni muhimu kwa wahusika kutoipa nafasi kuokoa vipaji vingi. Suala la ukatili kwa…

Read More