Meridianbet Yagusa Mioyo ya Wananchi kwa Kutoa Vyandarua Hospitali ya Mabwepande
Vijana wa sasa wanapenda kuona kampuni zinazogusa maisha ya watu kwa vitendo, na Meridianbet imeendelea kuwa mfano wa kuigwa. Safari hii, kampuni hiyo imefika Hospitali ya Wilaya ya Kinondoni iliyopo Mabwepande kwa lengo la kutoa msaada wa vyandarua maalumu vinavyosaidia kuboresha huduma za wagonjwa wodini. Msaada huo ni sehemu ya juhudi za Meridianbet kuonyesha kuwa…