Meridianbet Yawarejeshea Matumaini Familia Zenye Changamoto Kinondoni
Katika kuendeleza falsafa ya kugusa maisha ya wananchi kwa vitendo, Meridianbet imeandaa zoezi maalum la msaada wa kijamii lililofanyika wilayani Kinondoni, Dar es Salaam. Kupitia mpango huu, familia zinazokabiliwa na changamoto za kiuchumi zilipatiwa msaada uliolenga kupunguza mzigo wa maisha na kurejesha matumaini mapya. Zoezi hilo lilijikita katika utoaji wa vyakula na bidhaa muhimu za…