Vita Ya Pointi Tatu: Liverpool, City Na Barcelona Kutafuta Ushindi
Ni siku nyingine kabisa na tulivu ambayo imekuja kwaajili ya kubadili maisha yako. Timu kibao zipo uwanjani kuwania pointi 3 huku wewe ukiwania mkwanja wa maana. Ingia kwenye jamvi akaunti yako na ubeti sasa. EPL kuendelea kurindima kibabe ambapo Liverpool watakuwa ugenini kuanza kampeni yao dhidi ya Newcastle United moja ya timu ambazo ni ngumu…