Gates of Halloween Kuendelea Kukuangazia Bahati Ndani ya Meridianbet

Ingawa siku za Halloween zimepita, msisimko wake bado unatawala ndani ya Meridianbet. Kupitia mchezo wa kasino mtandaoni Gates of Halloween, wachezaji wanapewa nafasi ya kuingia kwenye ulimwengu wa kipekee unaochanganya hofu ya kufurahisha, burudani ya kisasa, na fursa kubwa za ushindi. Kila mzunguko wa mchezo huu umebeba matumaini mapya. Kupata alama nane au zaidi ni…

Read More

Likizo Kubadilishwa Kuwa Uzoefu wa Ushindi Na Sweet Holiday Chase

Kipindi hiki cha mapumziko, Meridianbet imeleta kitu kipya kabisa, Sweet Holiday Chase, promosheni inayochanganya burudani, msisimko na bahati katika kifurushi kimoja kama zawadi za msimu huu wa mapumziko. Kwa mfuko wa zawadi unaokadiriwa kufikia TSh 14,500,000,000/- hii si ofa ya kupita tu, ni fursa ya ushindi inayokukaribisha kuifungua kama sanduku la zawadi kila unapozungusha. Tofauti…

Read More

Meridianbet Kuleta Mchezo Unaozungumza kwa Vitendo Ni Meridian Panda Deluxe

Meridian Panda Deluxe imebeba falsafa tofauti ya sloti, ambapo ubunifu unaonekana katika mpangilio wake rahisi lakini wenye mvuto. Ubao wa 3×3 hauonekani kama kizuizi, bali kama nafasi iliyo wazi kwa matokeo ya haraka, inayomfaa mchezaji anayethamini mwendo na ufanisi katika kila mzunguko. Unapoanza kucheza, mazingira yanakuchukua polepole. Mandhari ya msitu wa mianzi inaleta hali ya…

Read More

Uganda vs Tanzania AFCON leo, ratiba hii hapa

KASI ya AFCON 2025 inaendelea na leo Desemba 27 kuna mechi za hatua ya makundi zinachezwa. Miongoni mwa mchezo ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa ni Uganda vs Tanzania na ikumbukwe kwamba timu hizi zote mbili zilipoteza mechi za ufunguzi. Hii hapa ratiba ya AFCON 2025 Benin vs Botswana, saa 9:30 alasiri Senegal vs Congo…

Read More

Wamerudiana! Harmonize Amshangaza Kajala Jukwaani, Zanzibar Yazizima

Msanii maarufu wa Bongo Fleva, Harmonize, ameibua shangwe kubwa baada ya kutangaza wazi kuwa amerejea katika uhusiano na Kajala Frida usiku wa kuamkia leo Desemba 26, 2026 wakati akifanya sho0 Zanzibar. Tukio hilo lililovutia mashabiki wengi, Harmonize alimuita Kajala jukwaani na kumtuza maneno ya upendo, akisisitiza kuwa: “Kajala ndiye mwanamke mrembo zaidi kuwahi kumuona duniani.”…

Read More

Shinda Samsung A26 Leo Jumatano kwa Kubashiri Rahisi Kupitia *149*10#

Bila Intanenti ni rahisi kabisa kuingia kwenye kinyang’anyiro cha kushindania Samsung A26 na Meridianbet leo. Jumatano ya Zawadi ipo kwaajili yako siku ya leo inaweza kukupa furaha sana. Jumatano hii haifanani na nyingine yoyote. Ni siku ambayo Meridianbet inawasha moto wa bahati kwa njia ambayo haijawahi kutokea. Kwa mara nyingine tena, wateja wote wanaopenda kubashiri…

Read More

Meridianbet Missions Sio Kubahatisha, Ni Kucheza Kwa Malengo

Meridianbet imeandika historia mpya katika kasino mtandaoni kwa kuanzisha Meridianbet Missions, mfumo unaobadilisha kabisa dhana ya sloti. Hapa, kila mzunguko una kusudi, kila mchezo una lengo, na kila mchezaji ana nafasi ya kujenga ushindi wake hatua kwa hatua. Ni kasino inayokufanya ucheze kwa akili, si bahati pekee. Kupitia Meridianbet Missions, unachagua misheni zako ndani ya…

Read More

Marioo – OLUWA (Official Music Video)

Msanii maarufu wa Bongo Flava, Marioo, amerejea tena kwenye ramani ya muziki kwa kuachia wimbo wake mpya “OLUWA”, kazi inayobeba ujumbe mzito wa shukrani, imani na kutambua mkono wa Mungu katika safari ya maisha. Katika OLUWA, Marioo anaonekana kuachana kwa muda na midundo ya mapenzi na burudani ya kawaida, na badala yake kuingia kwenye eneo…

Read More

Slotopia Yaiteka Meridianbet, Sasa Ni Wakati Wa Burudani Mpya

Bingwa wa michezo ya ubashiri nchini, Meridianbet wamezidi kufanya maajabu kwa kuwakutanisha wapenzi wa kasino mtandaoni na burudani ya kiwango cha juu, sasa wamewaletea jambo jipya linalokuweka katikati ya mchezo. Slotopia, mtoa huduma mpya wa michezo ya kasino mtandaoni, ameingia rasmi kwenye jukwaa la Meridianbet. Ndani ya Slotopia, kila mzunguko unaoushiriki una nafasi ya kushangaza….

Read More

Meridianbet Yarejesha Tabasamu kwa Jamii ya Kinondoni Kuelekea Krismasi

Wakati wengi wakijiandaa kusherehekea Sikukuu ya Krismasi, Meridianbet imeamua kuifanya sikukuu hiyo kuwa na maana zaidi kwa familia zinazopitia hali ngumu ya kiuchumi. Kampuni hiyo inayoongoza katika sekta ya michezo ya kubashiri nchini Tanzania imefika katika kata mbalimbali za Manispaa ya Kinondoni, ikitoa msaada wa mahitaji ya msingi ya nyumbani kwa familia zenye kipato cha…

Read More