VIDEO:KOCHA MPYA SIMBA AMEKUBALI MASHARTI ALIYOPEWA
UONGOZI wa Simba umebainisha kwamba, Kocha Mkuu Zoran Maki amekubali kuweza kusimamia malengo na dira ya timu hiyo kwa msimu ujao wa 2022/23. Masharti ambayo amekubali kuweza kutimiza ni pamoja na kutwaa Kombe la Ligi Kuu Bara,Kombe la Shirikisho,Ngao ya Jamii pamoja na kutinga hatua ya nusu fainali Ligi ya Mabingwa Afrika. Maki amepewa mkataba…