
MAYELE ATANGAZA HALI YA HATARI YANGA
MAKAMU Mwenyekiti wa Yanga, Frederick Mwakalebela, ameweka wazi kuwa licha ya kupoteza mkwaju wa penati katika mchezo dhidi ya Tanzania Prisons Jumatatu iliyopita, straika wao, Fiston Mayele hana presha yoyote na amejipanga kuwanyamazisha wakosoaji wake kwa kufunga mabao mengi zaidi kwenye michezo ijayo. Jumatatu wiki hii Yanga wakiwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es…