Saleh

PRISONS WATOSHANA NGUVU NA GEITA GOLD

LICHA ya kuanza kufunga kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Sokoine, Mbeya Tanzania Prisons waliweza kugawana pointi mojamoja na Geita Gold. Bao la dakika ya 30 lililofungwa na jeremia Juma lilidumu ndani ya kipindi cha kwanza kwa kuwa alifunga dk ya 38 kwa kuwa kuwa kipindi cha pili vijana wa Geita…

Read More

MABOSI WA SIMBA WAONGOZWA NA MO KUIJADILI YANGA

KUELEKEA mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports kati ya Yanga dhidi ya Simba, Rais wa Heshima wa Klabu ya Simba, Mohamed Dewji ‘Mo Dewji’, ameitisha kikao cha ghafla ili kuona wanajipangaje kuwamaliza wapinzani wao hao. Jumamosi hii, Simba itakuwa na kibarua kizito mbele ya Yanga, katika mchezo huo utakaochezwa Uwanja…

Read More

FEI TOTO,AUCHO WAONGEZEWA DOZI KISA SIMBA

KATIKA kuhakikisha kikosi chake kinaimarika katika kila idara, Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi, amewaongezea program ya mazoezi wachezaji wake wakiongozwa na Khalid Aucho na Feisal Salum ‘Fei Toto’. Yanga Jumanne iliibukia Shinyanga kuendelea na kambi ya maandalizi ya mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports dhidi ya Simba utakaochezwa CCM…

Read More

CHEZA KWA 1000 UPATE BILIONI 1 YA SUPA JACKPOT SPORTPESA

KAMPUNI ya Michezo na Burudani SportPesa  imezindua rasmi Jackpot mpya inayoitwa Supa Jackpot kama moja ya huduma yao nyingine kwa wachezaji wake. Akizungumza ofisini kwake, Oysterbay, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Tarimba Abbas amesema ni siku nyingine ambayo Kampuni ya SportPesa inatambulisha huduma hiyo. ‘’Najua bado watu wanashauku na Jackpot yetu ambayo imeliwa siku si…

Read More

FAMILIA YA MERIDIANBET NI KUBWA, NDANI YAKE KUNA VINARA WA SEKTA YA USAFIRI NDANI YA MAJIJI, FAMILIA HII NI KUBWA!!

Miongoni mwa mifumo ya usafiri inayopatikana nchini Tanzania, pikipiki almaarufu kama bodaboda ni kinara kwenye sekta ya usafiri hasa maeneo ya mijini na vijijini. Hili ni kundi ambalo, pengine limetoa ajira kwa vijana wengi nchini Tanzania na, kwa kujiajiri kwao kunaongeza pato lao binafsi na Taifa kwa ujumla. Meridianbet tunaamini katika ubingwa. Kwetu, maana halisi…

Read More

AZAM FC WAIFUATA COASTAL UNION ARUSHA

 UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa wachezaji wao wapo tayari kwa ajili ya mchezo wao ujao wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Coastal Union. Leo Mei 26 kikosi hicho kimeanza safari kuelekea Mwanza kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo huo ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Mchezo wa mwisho uliopita Azam FC…

Read More

PABLO AWAPA KAZI MAALUMU MABEKI WAKE

KOCHA Mkuu wa Simba, Pablo Franco amefichua kuwa amewaonya mabeki wa timu hiyo, wakiwemo Henock Inonga na Joash Onyango kuongeza umakini juu ya washambuliaji wa Yanga wakiongozwa na Fiston Mayele. Simba wanatarajia kucheza na Yanga katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la FA unaotarajia kupigwa Mei 28, mwaka huu kwenye Uwanja wa CCM Kirumba…

Read More

MTIBWA SUGAR WAAMBULIA KICHAPO,POLISI WAPETA

HAMSINI Malale, Kocha Mkuu wa Polisi Tanzania amesema kuwa anashukuru kwa ushindi aliopata mbele ya Mtibwa Sugar kwa ushindi wa mabao 2-0 kwenye mchezo wa ligi. Kwa upande wa kocha msaidizi wa Mtibwa Sugar, Awadh Juma amesema kuwa sababu ya kushindwa kupata matokeo ni uwanja. Ilikuwa ni mabao ya Datius Peter dk ya 43 kwa…

Read More

CHAMA HATIHATI KUWAKOSA YANGA NUSU FAINALI

 KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Clatous Chama kuna hatihati kuweza kuukosa mchezo wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Yanga. Mchezo huo ambao ni wa hatua ya nusu fainali unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa CCM Kirumba, Mei 28,2022. Mshindi wa mchezo huo anatarajiwa kutinga hatua ya fainali ambapo atacheza na mchezo wa fainali na mshindi wa mchezo Coastal…

Read More

MASTAA WAWILI YANGA WATIMULIWA KAMBINI

 IMEELEZWA kuwa nyota wawili ndani ya kikosi cha Yanga wametimuliwa kambini kutokana na kushindwa kufuata utaratibu ambao upo. Ni winga Dickosn Ambundo ambaye amekuwa kwenye mwendo mzuri kwenye mechi za hivi karibuni kwa kuwa chaguo la kwanza kwa Kocha Mkuu,Nasreddine Nabi. Pia nyota mwingine ni Said Ntibanzokiza ambaye yeye ni kiungo mshambuliaji. Habari zimeeleza kuwa…

Read More

WAAMUZI WA YANGA V SIMBA CCM KIRUMBA HAWA HAPA

WAAMUZI wa mchezo wa Kombe la Shirikisho unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa CCM Kirumba tayari wamewekwa wazi leo.  Ni Ahmed Arajiga kutoka Manyara atakuwa mwamuzi wa kati kuweza kusimamia sheria 17 za mchezo huo. Pia Mwamuzi msaidizi atakuwa Frank Komba na mwamuzi msaidizi namba 2 ni Mohamed Mkono huku yule wa akiba akiwa ni Elly Sasii…

Read More

MATAIFA MATATU YAUNGANA KUIFUNGA YANGA

ILIBIDI mataifa matatu yaungane kuifunga Yanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa juzi,Uwanja wa CCM Kirumba na kutibua rekodi ya dk 450 ya timu hiyo kutoruhusu bao. Ni pasi ya kiungo Shaban Ada ambaye huyu ni mzawa alitoa pasi kwa Ambrose Awio raia wa Uganda kisha akampa pasi Collins Opare raia wa Ghana aliyeweza…

Read More

JINA LA MAYELE LAJADILIWA KAMBINI SIMBA

Jina la Mayele lajadiliwa kambini Simba Na Ibrahim Mussa KOCHA Mkuu wa Simba, Pablo Franco amefichua kuwa amewaonya mabeki wa timu hiyo, wakiwemo Henock Inonga na Joash Onyango kuongeza umakini juu ya washambuliaji wa Yanga wakiongozwa na Fiston Mayele. Simba wanatarajia kucheza na Yanga katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la FA unaotarajia kupigwa…

Read More

SIMBA KUTUMIA MBINU ZA CAF KUIKABILI YANGA

PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa watatumia uzoefu ambao wamepata kwenye mechi za kimataifa kuweza kuwakabili Yanga kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho.   Yanga ilitangulia katika hatua ya robo fainali kwa ushindi mbele ya Geita Gold hivyo itakutana na Simba katika mchezo wa nusu fainali Mei 28,Uwanja wa…

Read More

GEORGE MPOLE: UFUNGAJI BORA NI SUALA LA MUDA TU

STRAIKA mzawa ambaye anafanya vizuri kwa sasa kwenye Ligi Kuu Bara, George Mpole anayekitumikia kikosi cha Geita Gold, amefunga mabao 14 msimu huu. Mpole alijiunga na Geita Gold mwanzoni mwa msimu huu akiwa mchezaji huru baada ya mkataba wake na Polisi Tanzania kumalizika ambapo huko hakuwa na wakati mzuri. Spoti Xtra limefanya mahojiano na Mpole…

Read More