MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMAMOSI
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumamosi
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumamosi
Manchester City wana nia ya kusaini mkataba na kiungo wa kati wa Manchester United na Ufaransa Paul Pogba, 29, kwa uhamisho huru. (Mail) Pogba angependa kufanya kazi na meneja Pep Guardiola na City wako tayari kumpatia ofa mshindi huyo wa Kombe la Dunia mkataba wa miaka minne. (Guardian) Antonio Conte Meneja wa Brighton Graham Potter…
MADRID, Hispania STRAIKA wa Real Madrid, Mohamed Salah, ameshuhudia Real Madrid ikiichapa Manchester City na kutinga fainali ya Ligi ya Mabingwa, akafurahi na kusema: “Hawa ndio nawataka nijilipizie kisasi.” Salah amesema anawasubiri kwa hamu Real Madrid Mei 28 jijini Paris akitaka kulipiza walivyomuumiza moyo miaka minne iliyopita, alipogongwa na Sergio Ramos akaumizwa mkono, kisha Liverpool…
MANCHESTER, England NYOTA wa zamani wa Manchester United, Ramon Calliste ambaye alitamba utotoni na akina Cristiano Ronaldo na Wayne Rooney, ameliacha soka na kuwa muuza saa za kisasa. Calliste alikuwa akitajwa kama Ryan Giggs ajaye, alitamba katika timu ya vijana ya United. Hata hivyo, jeraha baya la enka alilopata mwaka 2006, lilimlazimisha astaafu soka mapema….
LIVERPOOL baada ya kutinga fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya juzi, sasa kuna uwezekano wa miamba hiyo ya Anfield kutwaa makombe manne makubwa ‘quadruple’ ndani ya msimu mmoja. Itakuwa ni historia na rekodi ambayo haijawahi kuwekwa England. Liverpool iliichapa Villarreal 3-2 ugenini juzi nchini Hispania, na kuwaondoa vijana hao wa kocha Unai Emery kwa jumla…
Klabu ya Chelsea ya Uingereza imeuzwa rasmi kwa mmiliki mpya na hivyo kufikisha mwisho wa enzi za utawala wa bilionea wa Kirusi Roman Abramovich. Kupitia tovuti ya klabu hiyo imeandika: Klabu ya Chelsea inaweza kuthibitisha kuwa imefikia makubaliano ya uuzwaji wa klabu hii kwa mmiliki mpya, Kundi likiongozwa na Todd Boehly, Clearlake Capital, Mark Walter…
Baadhi ya timu zimeshamaliza misimu kwa kuzijua nafasi zao, zingine bado zinajitafuta huku wengine wakitafuta nafasi ya kuweka heshima kwa wapinzani. Meridianbet tunakupa nafasi ya kuzifuata Odds bora na bonasi kubwa wikiendi hii, mkeka wako uweke hivi; Anfield utachezwa mchezo wa EPL kati ya Liverpool na Tottenham Hotspurs. Licha ya Liverpool kujihakikishia nafasi ya…
SIMBA imefikia makubaliano mazuri na beki wa kati anayekipiga Cape Town City ya nchini Afrika Kusini, Mkongomani, Nathan Idumba. Idumba anasajiliwa na Simba kwa ajili ya kucheza pacha na Mkongomani mwenzake Henock Inonga ambaye ndiye beki tegemeo hivi sasa katika kikosi cha Mhispania, Franco Pablo. Kutua kwa Idumba katika kikosi cha Simba, kutafungua njia…
HASHIM Ibwe,mtangazaji wa Azam TV ameweka wazi sababu inayofanya kila anapotangaza mechi za Simba matokeo kuwa ni sare ndani ya dakika 90 kwa msimu wa 2021/22. Ilikuwa ni kwenye mchezo dhidi ya Yanga uliokamilika kwa suluhu kisha mchezo wa pili ulikuwa ni ule dhidi ya Namungo FC uliochezwa Uwanja wa Ilulu na ubao ulisoma Namungo…
MELIS Medo aliyekuwa kocha wa Coastal Union ameweka wazi kuwa kila kitu ambacho kinaanza huwa kidogokidogo na kwa sasa atakuwa anaifundisha timu ya Insta United ambayo inashiriki Ndondo Cup 2022
KLABU ya Arsenal imemuongezea dili jipya Kocha Mkuu Mikel Arteta hivyo atakuwa hapo mpaka mwaka 2025 akikinoa kikosi hicho kinachoshiriki Ligi Kuu England. Pia kocha wa timu ya Wanawake, Jonas Eidevall yeye atakuwa ndani ya timu hiyo mpaka msimu wa 2023/24 ndani ya timu hiyo. Arteta, alijiunga na timu hiyo mwaka 2019,ameweza kuiongoza timu hiyo…
JANA ulichezwa mchezo wa kukata na shoka ndani ya dakika 90 za kibabe kwa timu zilizojipanga kupata ushindi kwenye mchezo wa kirafiki ili kuweza kutamba mtaani. Ulikuwa ni mchezo wenye uzito wa mchezo uliochezwa Uwanja wa Bora kati ya timu ya Waandishi wa Habari za Michezo dhidi ya Unitalent dakika 90 za moto. Kazi ilikamilishwa…
BEKI wa Klabu ya Simba inayonlewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco, Henock Inonga leo Mei 6 amekabidhiwa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mashabiki (Emirate Aluminium Simba ACP Fans Player of the Month) ya mwezi Aprili. Tuzo hiyo ameweza kuitwaa baada ya kuwashinda mabeki wenzake ambao ni Shomari Kapombe na Joash Oyango ambao waliingia kwenye fainali…
JOSE Mourinho, Kocha Mkuu wa Klabu ya AS Roma ya nchini Italia Jose Mourinho ‘The Special One’ raia wa Ureno kaweka rekodi mpya kwenye ulimwengu wa michezo. Kocha huyo mbabe wa kauli ameweza kuzinoa timu mbali Ulaya ikiwa ni pamoja na FC Porto, Chelsea, Inter Milan, Real Madrid, Manchester United na Tottenham Hotspurs. Mourinho ameweka…
UNAAMBIWA dili la Stephen Aziz Ki kujiunga na Yanga, lina mkono mkubwa wa nyota wa timu hiyo, Yacouba Songne ambaye ni rafiki yake mkubwa. Yacouba na Aziz Ki ni marafiki wa muda mrefu ambao wote ni raia wa Burkinafaso ambapo wamewahi kucheza pamoja nchini kwao kabla ya kila mtu kwenda kusaka maisha kwingine. Chanzo cha…
CEDRICK Kaze, Kocha Msaidizi wa Yanga amesema kuwa matokeo ya sare ambayo wameyapata kwenye mechi za ligi hivi karibuni hayajawatoa kwenye mstari badala yake yamewaongezea hasira ya kuzidi kupambana. Kwenye mechi mbili mfululizo za ligi mbele ya Simba na Ruvu Shooting vinara hao wa ligi waliambulia pointi mbili katika msako wa pointi 6. Akizungumza na…
KOCHA Mkuu wa Manchester City, Pep Guardiola amesema kuwa hana uhakika kuwa kama kipigo mbele ya Real Madrid kitaleta madhara ya kisaikolojia kwa wachezaji wake wa Manchester City kwenye mbio za kusaka ubingwa. City walitupwa nje na Real Madrid na baada ya kipyenga cha mwisho wachezaji walianguka uwanjani kwa huzuni baada ya kushuhudia faida ya…