Saleh

RATIBA LIGI KUU BARA BONGO

MEI 21 Ligi Kuu Bara inatarajiwa kuendelea kwa timu kuwa kwenye msako wa pointi tatu muhimu. Polisi Tanzania itakuwa nyumbani Uwanja wa Ushirika kucheza dhidi ya Biashara United. Mtibwa Sugar itakuwa na kazi ya kusaka ushindi mbele ya Azam FC ni pale Uwanja wa Manungu. Kagera Sugar ni mbele ya Ruvu Shooting mchezo unaotarajiwa kuchezwa…

Read More

COASTAL WAANZA KUIVUTIA KASI MBEYA CITY

BAADA ya kumaliza kazi mbele ya Dodoma Jiji kwa ushindi wa mabao 2-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga hesabu zao kwa sasa ni mbele ya Mbeya City. Mabao ya Coastal Union yenye maskani yake pale Tanga yalipachikwa na kijana Abdul Suleiman ambaye ameitwa pia kwenye kikosi cha timu ya…

Read More

SIMBA YASAKA SAINI YA MSHAMBULIAJI ORLANDO PIRATES

IMEELEZWA kuwa Simba imeanza mazungumzo na mshambuliaji wa Orlando Pirates ya nchini Afrika Kusini, Kwame Peprah raia wa Ghana kwa ajili ya kumsajili kuelekea msimu ujao huku thamani yake ikitajwa kuwa euro 250,000 (Sh mil 608.6). Simba imepanga kukiboresha kikosi chao ili kifikie malengo ya kufika hatua ya Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika…

Read More

HT:YANGA 3-0 MBEYA KWANZA

NDANI ya dakika 45, Yanga imefunga mabao 3-0 dhidi ya Mbeya Kwanza kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaochezwa Uwanja wa Mkapa. Kasi walianza nayo ndani ya dakika 15 kwenye mchezo huo huku Mbeya Kwanza wakiwa kwenye mbinu ya kujilinda zaidi kwenye mchezo wa leo. Ni mabao ya Fiston Mayele ambaye ametupia bao la kufungulia…

Read More

JESHI LA YANGA LITAKALOANZA DHIDI YA MBEYA KWANZA

SAA 1:00 leo Mei 20,2022 Yanga ina kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Mbeya Kwanza kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara mzunguko wa pili. Ni kikosi kamili Yanga wameanzisha mbele ya Mbeya Kwanza ikiwa namna hii:- Diarra Djigui Kibwana Shomari Farid Mussa Yannick Bangala Dickson Job Khalid Aucho Sure Boy Jesus Moloko Ambundo Ntibanzokiza Mayele…

Read More

MASTAA HAWA SITA WA SIMBA WAMEITWA STARS

LEO Mei 20,2022 Kocha Msaidizi wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Shadrack Nsajigwa ametangaza orodha ya wachezaji wa timu hiyo watakaoingia kambini. Wachezaji hao ambao wameitwa kwenye kikosi cha Taifa Stars ambacho kitaingia kambini kujiandaa na michezo ya kufuzu AFCON 2023 wana kazi ya kusaka ushindi kwenye mechi mbili za awali. Kwa upande…

Read More

BEKI WA KAZI AINGIA ANGA ZA SIMBA

KLABU ya Simba ipo katika mazungumzo na beki la kazi raia wa Cameroon, Jean Jospin Engola kwa ajili ya kuimarisha ukuta wa timu hiyo kuelekea msimu ujao. Simba huenda ikaachana na mabeki wake wa kati akiwemo Pascal Wawa na Erasto Nyoni, hivyo ipo katika mawindo ya kusajili beki mwingine wa kimataifa kuziba nafasi hiyo. Akizungumza…

Read More

PABLO:HATUNA PRESHA NA YANGA

PABLO Franco,Kocha Mkuu wa Simba amesema wapinzani wao Yanga kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya nusu fainali haiwapi presha kwa kuwa wanaamini watafanya maandalizi mazuri. Zimebaki siku 7 kabla ya watani hawa wa jadi hawajakutana kwenye mchezo huo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa CCM Kirumba, Mei 28. Pablo amesema kuwa anawatambua wachezaji wake namna…

Read More

KOCHA YANGA:MAYELE ATAFUNGA TU

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa mshambuliaji wake namba moja Fiston Mayele atafunga kwenye mechi zilizobaki kwa kuwa anapenda kufunga na uwezo anao. Mayele kwenye mechi nne mfululizo za ligi hajafunga akiwa ameachwa kwa bao moja na mtupiaji namba moja George Mpole wa Geita Gold mwenye mabao 13 na pasi tatu za mabao….

Read More

BOSI SIMBA,YANGA WAITWA KAMATI YA MAADILI TFF

OFISA Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba, Barbara Gonzalez atafikishwa mbele ya Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kutoa ushahidi wa shutuma anazodaiwa kuzitoa wakati akihojiwa na Kituo cha Radio  nchini Afrika Kusini hivi karibuni. Katika taarifa iliyotolewa na TFF imeeleza kuwa, Klabu ya Yanga iliwasilisha malalamiko yao kwa TFF dhidi ya…

Read More