Saleh

SIMBA YATAJA MAMBO MATATU KUIKABILI KAGERA SUGAR

BAADA ya mastaa wa Simba kuyeyusha dakika 450 katika mechi tano za ushindani bila kushinda wanawafuata Kagera Sugar wakiwa wanabebwa na mambo makubwa matatu wanayoamini yatawapa ushindi. Ipo wazi kuwa katika mechi tano walizocheza Simba mara ya mwisho kushinda ilikuwa Simba 2-1 Ihefu mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa, katika mechi tatu za Ligi ya Mabingwa…

Read More

YANGA YAIPIGIA HESABU MTIBWA SUGAR

KOCHA Mkuu wa Yanga Miguel Gamondi ameweka wazi kuwa hesabu kubwa kwa sasa ni kwenye mchezo wao ujao dhidi ya Mtibwa Sugar. Ipo wazi kwamba baada ya kukamilisha mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Medeama ya Ghana kituo kinachofuata ni Azam Complex kuvaana na Mtibwa Sugar. Huo ni ni mchezo wa ligi…

Read More

SIMBA YAMALIZANA NA WINGA WA MABAO

INAELEZWA kuwa uongozi wa Simba umemalizana na winga wa mabao ndani ya Mtibwa Sugar, Ladack Chasambi. Nyota huyo jina lake lipo pia kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars ambacho kilikuwa na kazi ya kusaka ushindi kwenye mechi za kimataifa hivi karibuni. Ilikuwa ni kwenye kusaka tiketi ya kufuzu Kombe la Dunia…

Read More

KAGERA SUGAR YAWATEGEA MTEGO SIMBA

KOCHA Mkuu wa Kagera Sugar, Meck Mexime amesema kuwa anawatambua wapinzani wao Simba namna walivyo bora na wachezaji walivyo na akili katika kutimiza majukumu yao hivyo wataingia kwa tahadhari. Maneno ya kocha huyo ni kama mtego kwa Simba kutokana na mpango kazi ambao wanao Kagera Sugar kusepa na pointi tatu mbele ya Simba na ikumbukwe…

Read More

MTAMBO WA KAZI NDANI YA YANGA NI NOMA

IPO wazi kuwa mtambo wa kazi uliotambulishwa ndani ya Yanga ni noma kutokana na majukumu yake kuwarahisishia kazi benchi la ufundi la timu hiyo. Miguel Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga ameongezewa mtu mwingine wa kazi kwaajili ya kuongeza nguvu kwenye kusaka ushindi. Ni Mpho Maruping kutoka Afrika Kusini ambaye Desemba 14 alitambulishwa rasmi kuwa ni …

Read More

KAGERA SUGAR KAMILI GADO KUIVAA SIMBA

BENCHI la ufundi la Kagera Sugar limebainisha kuwa linafanyia kazi makosa kwenye mechi zao zilizopita ili kupata matokeo katika mechi zijazo. Mchezo wao ujao kwenye ligi ni dhidi ya Simba unatarajiwa kuchezwa Desemba 15 na kikosi hicho kinaendelea na mazoezi Uwanja wa Uhuru. Marwa Chamberi, Kocha msaidizi wa Kagera Sugar amesema kuwa walipata muda wa…

Read More

MFALME MWINGINE HUYU HAPA 888STARZ JIUNGE NAYE

JINSI YA KUJIUNGA NA 888STARZ Jiunge na kampuni inayofanya vizuri kwenye mpango mzima wa ubashiri na ubashiri kama Mfalme. Pata bonasi ya TSH 335,000 bure kwa kutumia Promo code: CHAMA kwenye Deposit ya Kwanza. Ni rahisi sana jinsi ya Kujisajili na 888starz Tanzania! Bonyeza link upakue App https://aff1ect8.com/9sQk4Q Kisha bonyeza Registration by One-click Kisha kwenye…

Read More

MOTO UTAWAKA KUNDI F LIGI YA MABINGWA ULAYA LEO

Moto unakwenda kuwaka leo katika ligi ya mabingwa ulaya leo haswa kwenye kundi F ambalo wengi waliamua kuliita kundi la kifo kutokana na ugumu ambao upo kwenye kundi hilo na Meridianbet hawako nyuma kwani wametoa ODDS KUBWA kwenye michezo hiyo. Kundi F linaundwa na timu kama PSG, Newcastle United, Ac Milan, na Borussia Dortmund ambapo…

Read More

KIMATAIFA KAZI KUBWA IFANYIKE, INAWEZEKANA

SIO Yanga wala Simba kwenye anga la kimataifa hakuna mwenye kazi nyepesi kutokana na mechi zao wote kuwa ngumu katika hatua ya makundi. Tumeshuhudia namma mechi za kimataifa wapinzani walivyo wagumu na mechi ni ngumu. Hii inatokana na aina ya wachezaji pamoja na timu husika kuwa na mipango kazi ofauti na ile ambayo imezoeleka kwenye ligi ya…

Read More