
SIMBA YATAJA MAMBO MATATU KUIKABILI KAGERA SUGAR
BAADA ya mastaa wa Simba kuyeyusha dakika 450 katika mechi tano za ushindani bila kushinda wanawafuata Kagera Sugar wakiwa wanabebwa na mambo makubwa matatu wanayoamini yatawapa ushindi. Ipo wazi kuwa katika mechi tano walizocheza Simba mara ya mwisho kushinda ilikuwa Simba 2-1 Ihefu mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa, katika mechi tatu za Ligi ya Mabingwa…