
YANGA:HATURUDII MAKOSA, NYOTA SIMBA WAAPA KUFA NA WYDAD
Mastaa Yanga… Haturudii makosa, Nyota Simba waapa kufa na Wydad ñdani ya Championi Ijumaa
Mastaa Yanga… Haturudii makosa, Nyota Simba waapa kufa na Wydad ñdani ya Championi Ijumaa
KIUNGO wa kazi ngumu, Sadio Kanoute ameanza na rekodi yake mbele ya kocha mpya, Abdelhak Benchikha kwa kuwa nyota wa kwanza kuonyeshwa kadi ya njano katika mchezo wa kwanza kukaa benchi. Ikumbukwe kwamba Benchikha ni mrithi wa mikoba ya Roberto Oliveira, mchezo wake wa kwanza kukiongoza kikosi cha Simba ilikuwa Desemba 2, alishuhudi ubao ukisoma…
MATAJIRI wa Dar Azam FC ni namba moja katika msimamo wa Ligi Kuu Bara wakiwa na pointi 25 baada ya kucheza mechi 13 wanafuatiwa na Yanga nafasi ya pili pointi 24 baada ya kucheza mechi 9. Desemba 7 ubao wa Uwanja wa Azam Complex ulisoma Azam FC 5-0 KMC. Ni Prince Dube dakika ya 23…
YANGA inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamond Desemba 8 ina kibarua cha kusaka ushindi mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Medeama ya Ghana. Ni Joyce Lomalisa huenda akakosekana baada ya kupata maumivu kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly. Gamondi ameweka wazi kuwa kuna nyota wawili ambao watabeba mikoba…
Mambo yanaonekana kuwaendeo kombo mabingwa watetezi wa ligi kuu ya Uingereza klabu ya Manchester City, Kwani mpaka sasa wamecheza michezo minne ya ligi kuu ya Uingereza hivi karibuni na hawajapata matokeo ya ushindi katika mchezo wowote. Matokeo ya hivi karibuni ya klabu hiyo ambayo imetawala ligi kuu ya Uingereza kwa miaka saba nyuma hayaleti picha…
MIGUEL Gamondi Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa kuna kazi kubwa ya kuongeza umakini kwenye eneo la ulinzi ili kuzuia kufungwa katika mechi za Ligi ya Mabingwa Afrika. Timu hiyo baada ya kucheza mechi mbili ambazo ni dakika 180 imeokota mabao manne kwenye nyavu.
KOCHA Mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha amepenya katika orodha ya makocha watatu bora wanaowania tuzo za CAF 2023. Ikumbukwe kuwa kocha huyo ni mrithi wa mikoba ya Roberto Oliveira aliyefutwa kazi kutokana na kupoteza mchezo wa Kariakoo Dabi dhidi ya watani wa jadi Yanga. Oliveira alikuwa shuhuda ubao wa Uwanja wa Mkapa ukisoma Simba 1-5…
MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa watafanyia kazi makosa katika mechi za kimataifa upande wa ulinzi ili kutoruhusu mabao mengi ya kufungwa. Ipo wazi kuwa katika mechi mbili ilizoshuka uwanjani hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika, ukuta wa Yanga uliokota mabao manne, ugenini dhidi ya CR Beloizdad ilitunguliwa mabao matatu na…
ILE kauli ya makocha wanaajiriwa ili wafukuzwe isiwe kigezo cha kila timu kumfukuza kocha pale wanapokosa wanachokitarajia kwenye mechi husika. Ipo wazi kuwa kuna mengi ambayo yanamzunguka kocha kwenye mpango kazi wa kusaka matokeo. Inawezekana viongozi wanatambua makosa yalipo wanashindwa kuyatatua kwa wakati. Muda mwingine ni aina ya wachezaji waliopo kushindwa kwenda na kasi iliyopo…
BENCHI la ufundi la Simba china ya Kocha Mkuu, Abdelhak Benchikha limeweka wazi kuwa ni muhimu kwa nyota wake ikiwa ni pamoja na Clatous Chama, Saido Ntibanzokiza kwenye safu ya kiungo Jean Baleke kwenye safu ya ushambuliaji kuongeza kasi kwenye eneo la wapinzani katika matumizi ya nafasi ambazo wanazipata. Mechi nne za Ligi ya Mabingwa…
BAADA ya kukosa ushindi katika michezo miwili ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba imepanga kuanza kupata ushindi dhidi ya Wydad Casablanca ya Morocco. Simba imevuna pointi mbili pekee ikicheza michezo miwili ya Kundi B katika Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu dhidi ya ASEC Mimosas ya Ivory Coast na Jwaneng Galaxy…
Shughuli imemalizika, alama tatu muhimu kwa Mashetani Wekundu katika dimba la Old Trafford. FT: Man United 2-1 Chelsea ⚽⚽ McTominay 19’ 69’ ⚽ Palmer 45’ Manchester United imefikisha alama 27 baada ya mechi 15 ikikwea mpaka nafasi ya sita kwenye msimamo wa Ligi Kuu England. Chelsea inasalia nafasi ya 10 alama 19 baada ya mechi…
Jumatano hii inapigwa mechi ya kibabe sana katika ligi kuu ya Uingereza kati ya klabu ya Manchester United dhidi ya Chelsea ambao watakua ugenini katika dimba la Old Trafford, Mchezo ambao ukawepo kwenye tovuti ya Meridianbet. Mchezo huu umepewa ODDS KUBWA pale Meridianbet ambapo unamuwezesha mteja kujishindia maokoto ya kutosha, Huku wakiwa wamepewa fursa ya…
CLATOUS Chama, mwamba wa Lusaka ameanza kujipata taratibu baada ya kuonyesha ubora uliokosekana kwa muda mrefu ndani ya uwanja. Chini ya Roberto Oliveira, mchezo wa mwisho kufanya umwamba ilikuwa dhidi ya Power Dynamos alipofunga mabao mawili, ubao uliposoma Power Dynamos 2-2 Simba baada ya hapo hakuwa kwenye ubora wake. Ikumbukwe kwamba alikuwa ndani ya Uwanja…
Unaijua 200% inakuaje? Meridianbet msimu huu wa Sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya unapojisajili, ukaongeza salio kwenye akaunti yako kisha kucheza kasino ya mtandaoni au kubashiri soka unapatiwa bonasi ya mgao wa 2,500,000/=TZS Kila mchezaji aliyejisajili kwenye tovuti ya Meridanbet.co.tz au Meridianbet APP na kuweka pesa kwa mara kwanza kiasi kinachoanzia TZS 10,000 na zaidi kisha kucheza …
BAKARI Shime, Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya wanawake Twiga Stars ambayo imefuzu kucheza mashindano ya WAFCON 2024 yatakayofanyika nchini Morocco.amesema kuwa jitihada za kupata ushindi zilishindikana lakini wachezaji walijituma. Twiga imefuzu baada ya ushindi wa jumla wa mabao 3-2 dhidi ya Togo ambapo kila mmoja kashinda kwenye mechi aliyokuwa nyumbani. Ikumbukwe kwamba Twiga…