
FUNGA KAZI YA YANGA HUYU HAPA MSHAMBULIAJI
MWAMBA huyu hapa mshambuliaji wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga ikiwa ni ingizo jipya katika dirisha dogo. Anaitwa Joseph Guede raia wa Ivory Coast ambapo kafunga dirisha la usajili kwa upande wa Yanga katika dirisha dogo. Yeye ni mshambuliaji wa Kati anakuja kuongeza nguvu kwenye eneo la ushambuliaji ndani ya Yanga. Wakati anaingia mwamba…