Matokeo ya mechi za Simba SC 2025/26

Matokeo ya mechi zilizopita Simba SC
Oktoba Mosi 2025, Simba SC 3-0 Namungo FC, mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

Septemba 28 2025, Simba SC 1-1 Gaborone United, Ligi ya Mabingwa Afrika.

Septemba 25 2025, Simba SC 3-0 Fountain Gate mchezo wa Ligi Kuu Bara.

Septemba 20 2025, Gaborone United 0-1 Simba SC, Ligi ya Mabingwa Afrika.

Septemba 16 2025, Yanga SC 1-0 Simba SC, Ngao ya Jamii.

Septemba 10 2025, Simba SC 2-0 Gor Mahia mchezo wa kimataifa wa kirafiki.

Nsingizini Hotspurs 0-3 Simba SC, Oktoba 19 2025, CAF Champions League.

Simba SC 0-0 Nsingizini Hotspurs, Oktoba 24,2025, CAF Champions League.

JKT Tanzania 1-2 Simba SC, Novemba 8 2025, Uwanja wa Meja Jeneral Isamuhyo, NBC Premier League.

Simba SC 0-1 Petro de Luanda, CAF Champions League.

Stade de Malien 2-1 Simba SC, CAF Champions League, Novemba 30,2025.

Simba SC 3-0 Mbeya City, Ligi Kuu Bara, Desemba 4,2025.

Simba SC 0-2 Azam FC, Desemba 7,2025.

***

Imeandikwa na Lunyamadzo Mlyuka, Mtunzi kitabu cha Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo na Moyo Wangu Unavuja Damu.  Kuvipata TUNAOMBA ODA 0756 028 371.

Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo ni simulizi inayozungumzia maisha ya Kiafrika, usaliti, visa, furaha. Wakazi wa Njombe kitabu kinapatikana Mtaa wa Mpechi kwa Chris Jabari, Kigamboni kwa Tupokigwe, Posta karibu na Mnara wa Askari ukiwa unaelekea chuo cha IFM. Kuna kazi mpya inaandaliwa inaitwa Msichana wa Maisha Yangu, jiandae kuipata.