Mabingwa watetezi, Liverpool, wamepoteza 2-1 dhidi ya Crystal Palace katika dimba la Selhurst Park, huku Chelsea ikishindwa 3-1 nyumbani Stamford Bridge.
Kwingineko, Erling Haaland amefunga magoli mawili wakati Manchester City ikiibamiza Burnley 5-1 kwenye dimba la Etihad.
Matokeo kamili:
Chelsea 1-3 Brighton
-
24’ Enzo Fernández ⚽
-
77’ Danny Welbeck ⚽
-
90+2’ De Cuyper ⚽
-
90+10’ Danny Welbeck ⚽
Crystal Palace 2-1 Liverpool
-
09’ Ismaïla Sarr ⚽
-
87’ Federico Chiesa ⚽
-
90+7’ Eddie Nketiah ⚽
Manchester City 5-1 Burnley
-
12’ Esteve (og) ⚽
-
61’ Matheus Nunes ⚽
-
65’ Esteve (og) ⚽
-
90’ Erling Haaland ⚽
-
90+3’ Erling Haaland ⚽
-
38’ Anthony ⚽ (Burnley)
Leeds United 2-2 Bournemouth
-
37’ Rodon ⚽
-
54’ Longstaff ⚽
-
26’ Semenyo ⚽
-
90+3’ Kroupi ⚽