SHABIKI wa Simba, Kisugu ameweka wazi kuwa hakuna wakumzuia Ellie Mpanzu, Kibu Dennis kwenye kutimiza majukumu yao na wachezaji wanakazi kwenye kutimiza majukumu yao ndani ya uwanja kwa kuwa kila mchezaji anapaswa kutambua kwamba kazi yake ni kuwapa furaha.