SIMBA imeandika rekodi yake nyingine kwa kutinga hatua ya nusu fainali Kombe la Shirikisho Afrika kwa ushindi wa penati 4-1, baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Mkapa, Aprili 9 2025 kusoma Simba 2-0 Al Masry kwenye mchezo wa robo fainali ya kwanza ilikuwa Al Masry 2-0 Simba.
Dalali Mwanamke ametoa zawadi kwa mchezaji bora wa mchezo ambaye ni Moussa Camara aliyeokoa penati mbili na penati ya mwisho ilipigwa na beki Shomari Kapombe.
Soccer Football - International Friendly - Spain v Brazil - Santiago Bernabeu, Madrid, Spain - March 26, 2024 Spain's Rodri scores their third goal from the penalty spot REUTERS/Violeta Santos Moura