EUROPA LEAGUE NA CONFERENCE KUTOA PESA LEO

Baada ya kushuhudia mechi za ligi ya mabingwa barani Ulaya na sasa ni zamu ya Europa league na Conference huku odd kubwa na machaguo zaidi ya 1000 yakiwa hapa. Ingia na utengeneza pesa leo. Manchester United ya Ruben Amorim watakuwa kibaruani kukipiga dhidi ya Olympique Lyon ya kule Ufaransa. Mara ya mwisho timu hizi kukutana…

Read More

MTIBWA SUGAR WAPO SIRIAZ NA JAMBO LAO

MTIBWA Sugar inayotumia Uwanja wa Manungu kwenye mechi za nyumbani wapo siriazi na jambo lao kurejea katika Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kushuka na kuibukia ndani ya Championship. Timu hiyo kwa sasa ni namba moja kwenye msimamo ikiwa na jumla ya pointi 60 baada ya kucheza mechi 25 ndani ya ligi msimu wa 2024/25….

Read More

NYOTA WAWILI WA KAZI YANGA FITI KUWAKABILI AZAM FC

KUELEKEA kwenye mchezo wa Mzizima Dabi unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex kuna mastaa wawili wa kikosi cha Yanga wapo fiti kwa ajili ya mchezo huo unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Yanga ambao ni vinara wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora Afrika wanakibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Azam FC…

Read More