AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amesema kuwa watapambana na wapinzani wao Al Masry kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika, Uwanja wa Mkapa, Aprili 9 2025 na malengo ni kuona wanatinga hatua ya robo fainali, Kombe la Shirikisho Afrika mashabiki wajitokeze kwa wingi.
Soccer Football - International Friendly - Spain v Brazil - Santiago Bernabeu, Madrid, Spain - March 26, 2024 Spain's Rodri scores their third goal from the penalty spot REUTERS/Violeta Santos Moura