Wananchi, Young Africans Sc wamepoteza mchezo wa pili mfululizo kwenye hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kufuatia kipigo cha 2-0 dhidi ya MC Alger katika dimba la Julai 5, 1962.
FT: MC Alger π©πΏ 2-0 πΉπΏ Yanga Sc
β½ 64β Abdellaoui
β½ 90+5β Bayazid
FT: FAR Rabat π²π¦ 1-1 πΏπ¦ Mamelodi Sundowns
β½ 74β Hrimat
β½ 66β Rayners
MSIMAMO Kundi A
π©πΏ MC Alger β mechi 2 β pointi 4
πΈπ© Al Hilal β mechi 1 β pointi 3
π¨π© TP Mazembe β mechi 1 β pointi 1
πΉπΏ Yanga Sc β mechi 2 β pointi 0