VIDEO:TUNDA MAN AFUNGUKIA SIMBA DAY

MSANII Mkongwe Bongo Tunda Man ambaye ni shabiki wa Simba ameweka wazi kuwa kuelekea Simba Day kutakuwa na mengi mazuri hivyo mashabiki wajitokeze kwa wingi.

Hili linakuwa tamasha la tatu kwa ukubwa Bongo baada ya Yanga kuanza kwenye Wiki ya Mwananchi kisha Singida Fountain Gate kufuata kwenye Singida Big Day.

Yanga walifanya utambulisho wa wachezaji na benchi Uwanja wa Mkapa Singida Fountain Gate ilikuwa Uwanja wa Liti kisha Simba wao ni Uwanja wa Mkapa, Agosti 6 2023.