>

VIDEO:MTAZAME NA KUMSIKIA JEMBE AKITEMA CHECHE JAMBO LA NCHI

MKONGWE kwenye tasnia ya Habari za Michezo Bongo Saleh Jembe ameweka wazi kuhusu uzinduzi wa mdhamini wa jezi z Simba ambeye ni Sandaland.

Jembe amegusia maendeleo kwenye Ligi ya Tanzania ambapo kwa msimu wa 2022/23 mabingwa ni Yanga huku Simba ikigotea nafasi ya pili pia Yanga wamecheza hatua ya fainali Kombe la Shirikisho Afrika wakigotea kuwa washindi wa pili.