Home Sports HIVI NDIVYO ITAKAVYOKUWA VITA YA AZAM FEDERATION,FAINALI TANGA

HIVI NDIVYO ITAKAVYOKUWA VITA YA AZAM FEDERATION,FAINALI TANGA

DROO ya mashindano ya Azam Fedaration hatua ya robo fainali imechezeshwa leo Machi 15,2023 Dar, watani wa jadi Simba na Yanga hawatakutana katika hatua ya robo wala nusu fainali.

Msimu uliopita Yanga ilicheza nusu fainali dhidi ya Simba na kushinda 1-0 kisha ikatinga fainali ikamenyana na Coastal Union ya Tanga.

Robo fainali ilivyochezeshwa ngoma itakuwa namna hii:-

Simba vs Ihefu

Singida Big Stars vs Mbeya City

Yanga vs Geita Gold

Azam FC vs Mtibwa Sugar

Nusu fainali

Mshindi wa mchezo wa Simba vs Ihefu dhidi ya mshindi wa mchezo wa Azam vs Mtibwa Sugar

Mshindi mchezo wa Singida Big Stars dhidi ya mshindi wa mchezo kati ya Mbeya City dhidi ya Yanga vs Geita.

Mechi za nusu fainali zitachezwa Uwanja wa Nangwanda Sijaona Mtwara na Liti Singida

Fainali

Fainali ni CCM Mkwakwani Tanga.

Previous articleMERIDIANBET YASHUSHA NEEMA KWA BODABODA KAWE
Next articleROBERTINHO AWAFANYIA UMAFIA HOROYA,YANGA YAWAKOMALIA WAARABU