Kocha Mkuu wa Azam FC, Denis Lavagne ameweka wazi kuwa makosa ambayo wamefanya watafanyia kazi kupata matokeo.
“Kuna makosa tulifanya kwenye mchezo wetu wa kwanza na tayari tumeshayafanyia kazi kikubwa ni kwamba tupo tayari kwa mchezo huo,”.
Tayari kikosi kimeanza mazoezi kwa ajili ya mchezo huo kuwakabili waarabu wa Libya unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa ndani ya dakika 90 kwenye hatua ya Kombe la Shirikisho Afrika.