Yanga SC vs Azam FC ni leo Muungano Cup

Yanga SC vs Azam FC ni leo Aprili 25, 2026 kwenye hatua ya nusu fainali Muungano Cup, Uwanja wa New Amaan Complex. Hii ni Nusu Fainali ya kwanza, ya mashindano ya Muungano Cup 2026, ambao unajulikana kama ‘Dar es Salaam Derby’. Ikumbukwe kwamba Yanga SC imefika hatua hii baada ya kuifunga Muembe Makumbi City 4-0…

Read More