Presha Yazidi Kuongezeka kwa Real Madrid Baada ya Sare Dhidi ya Betis
Mambo yamezidi kuwa magumu kwa Real Madrid katika mbio za kuwania ubingwa wa La Liga, baada ya kupoteza alama muhimu kufuatia sare ya 1-1 dhidi ya Real Betis ugenini, katika dimba la La Cartuja jijini Sevilla. Real Madrid walianza vyema mchezo huo, wakitangulia kupata bao kupitia Vinicius Junior mapema katika kipindi cha kwanza, bao lililoashiria…