Singida Black Stars vs Azam FC Aprili Mosi 2026

Singida Black Stars vs Azam FC kwenye NBC Premier League inatarajiwa kupigwa Aprili Mosi, 2026 kwa wawili hawa kusaka pointi 3 muhimu ndani ya dakika 90. Ni Uwanja wa Airtel mchezo huu utachezwa ampao wenyeji ni Singida Black Stars watawakaribisha Azam FC kwenye mchezo wa ligi. Wenyeji Singida Black Stars kwenye mechi mbili zlizopita Machi…

Read More

Tanzania vs Liechtenstein ni leo FIFA Series

 Tanzania vs Liechtenstein ni leo kwenye FIFA Series ambayo mashindano maalum, yaliyo kwenye kalenda ya FIFA. Mashaindano haya  yanalenga kuhakikisha timu zinajiandaa na mashindano mbalimbali makubwa yanafanyika nchini Rwanda.  Miguel Gamondi, Kocha Mkuu wa Tanzania amesema wapo tayari kwa mchezo wa leo kutokana na maandalizi ambayo wameyafanya kukabiliana na Liechtenstein. Tanzania imesafiri na kikosi cha…

Read More