Mali Yazua Gumzo Baada ya Kuwaacha Wachezaji Wake Maarufu
Kocha wa Timu ya Taifa ya Mali, Tom Saintfiet ametangaza kikosi cha wachezaji 25 kwa ajili ya mechi mbili za kirafiki za Kalenda ya FIFA ya Machi 2026 huku golikipa wa Yanga SC, Djigui Diarra akiwa miongoni mwa wachezaji muhimu walioachwa kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo majeraha na mapumziko. Wachezaji wengine walioachwa ni pamoja na…