TRA United vs Yanga SC kupigwa kesho

TRA United vs Yanga SC kupigwa kesho Uwanja wa Sheikh Amri Abeid ikiwa ni ratiba ya NBC Premier League. Yanga SC vinara wa ligi wanaingia uwanjani wakiwa wametoka kucheza mchezo mgumu dhidi ya Azam FC, Uwanja wa Mkapa. Katika mchezo huo uliochezwa Machi 15,2026 baada ya dakika 90 ubao ulisoma Azam FC 0-0 Yanga SC…

Read More