Orodha ya wachezaji wa Yanga SC watakaokosekana mchezo vs TRA United
TRA United vs Yanga SC ni mchezo unaofuata kwenye ratiba huku mabingwa watetezi wakiwakosa nyota wanne kuelekea mchezo huo kutokana na kutokuwa fiti. Taarifa rasmi kutoka Yanga SC imeeleza kuwa wachezaji hao watakuwa nje kwa mujibu wa ripoti ya madaktari na mchezo ambao wote wataukosa ni ule unaofuata dhidi ya TRA United. Ibrahim Abdullah (Bacca)…