Live: Tanzania Prisons 0-1 Yanga SC

FT: Tanzania Prisons 0-1 Yanga SC

Dakika ya 90

Dakika ya 88

Dakika ya 83

Goal dk 79 Depu

Dakika ya 67.

Dakika ya 53

Dakika ya 50 George Mpole wa Prisons anaonyeshwa kadi ya njano.

Dakika ya 45

Dakika ya 45 Jermia Juma wa Prisons alionyeshwa kadi ya njano.

Dakika ya 40

Dakika ya 16

Umiliki: Tanzania Prisons 37% -63% Yanga SC

Uwanja wa Jamhuri

Tanzania Prisons vs Yanga SC ni leo Machi 12,2026 Uwanja wa Jamhuri, Dodoma.

Mchezo unatarajiwa kuanza saa 2:00 usiku

Taarifa kuhusu vikosi:-

Kikosi cha Tanzania Prisons vs Yanga SC

Langoni ni Mussa Mbissa

Lambart Sabiyanka

Doto Shaban

Jeremia Juma

Marco Mhilu

Michael Mutinda

Wema Sadoki

Salum Kimenya

Maurince Owino

George Mpole

Haruni Chanongo

Wachezaji wa akiba ni Emmanuel Martin, Never Kaboma,Kelvin Sagati, Heritier, Masoud Abdalah, Ramadhan Mwenda, Edward Mwakyusa, Samson Mbangula, Oscar Mwajanga na Idd Lugendo.

Kikosi cha Yanga SC vs Tanzania Prisons

Langoni

Djigui Diarra

Mabeki: Israel Mwenda, Zimbwe Jr, Nondo, Bacca. Viungo ni Damaro, Abuya, Maxi, Mudathir na Okello.

Mshambuliaji ni Prince Dube. Akiba: Masalanga, Abubakari, Assink, Andabwile, Yao, Abdulnasir, Shekhan, Edmund, Bupa, Depu .

Timu zote mbili zimewasili Dodoma kwa maandalizi ya mwisho na zimefika uwanjani tayari

***

Imeandikwa na Lunyamadzo Mlyuka, Mtunzi kitabu cha Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo na Moyo Wangu Unavuja Damu.  Kuvipata TUNAOMBA ODA 0756 028 371.

Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo ni simulizi inayozungumzia maisha ya Kiafrika, usaliti, visa, furaha. Wakazi wa Njombe kitabu kinapatikana Mtaa wa Mpechi kwa Chris Jabari, Kigamboni kwa Tupokigwe, Posta karibu na Mnara wa Askari ukiwa unaelekea chuo cha IFM. Kuna kazi mpya inaandaliwa inaitwa Msichana wa Maisha Yangu, jiandae kuipata.