Yanga Yawasambaratisha Mashujaa 6–0 NBC Premier League

Mchezo wa NBC Premier League umekamilika katika dimba la KMC Complex, ambapo Yanga Sports Club wameonyesha ubabe mkubwa kwa kuibamiza Mashujaa FC kwa kipigo kikubwa cha mabao 6–0.

Yanga walitawala mchezo kuanzia mwanzo hadi mwisho, wakionesha ufanisi mkubwa katika safu ya ushambuliaji pamoja na uimara wa ulinzi.

Mabao ya Yanga yalifungwa na:

  • Damaro

  • Stephane Aziz Ki Abuya

  • Pacôme Zouzoua

  • Clatous Chama Dube

  • Mudathir Yahya

  • Depu

Matokeo ya Mwisho (FT):
🟡 Yanga SC 6–0 Mashujaa FC