Azam FC kamili kimataifa

Kocha wa Azam, Florent Ibenge amesema kuwa hataki kuona makosa waliyoyafanya katika mchezo wa kwanza wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya AS Meniema ya DR Congo yakijirudia kwa Wydad Casablanca ya Morocco. Katika mchezo wa kwanza ugenini wawakilishi wa Tanzania kimataifa walipoteza pointi tatu muhimu kwenye mchezo huo uliokuwa na ushindani mkubwa. Baada ya…

Read More

Taarifa, Odds Kubwa na Fursa za Ushindi Zinakungoja Kwenye Meridianbet Sport Portal

Meridianbet Sport Portal? Hili ni jukwaa kubwa kabisa ambalo kutokana na upana limekuja kwaajili ya kumrahisishia kazi mteja wa Meridianbet wakati wa kubashiri kwani hapa anapata taarifa zote za kimichezo na kasino kwa ujumla. Meridianbet Sport Portal ni kwaajili ya kumpa mteja wa Meridianbet uzoefu bora zaidi wa kubashiri, kutoa na kuweka pesa huku akiweza…

Read More

Meridianbet Yagusa Jamii: Yakabidhi Mashuka Mapya Hospitali Ya Ndumbwi

Meridianbet imeendelea kupanua wigo wa mchango wake kwa wananchi kwa kukabidhi mashuka mapya katika Hospitali ya Ndumbwi. Tukio hili ni hatua inayoakisi namna kampuni binafsi zinavyoweza kuwa nguvu ya faraja na suluhisho kwa changamoto za jamii. Wakati wa kukabidhi msaada huo, Afisa Habari wa Meridianbet, Nancy Ingram, alisisitiza kuwa dhamira ya kampuni yao si biashara…

Read More