Yanga SC kuzindua uzi mpya leo Novemba 19,2025

RASMI uongozi wa Yanga SC umetangaza kuwa utazindua uzi mpya maalumu kwa ajili ya mechi za CAF Champions League leo Novemba 19,2025. Yanga SC inapeperusha bendera ya Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika ipo hatua ya makundi na mchezo wa kwanza unatarajiwa kuchezwa Novemba 22, 2025 Uwanja wa New Amaan Complex dhidi ya FAR Rabat…

Read More

Yanga Yaingia Kambi Zanzibar: Maandalizi Rasmi Ya Ligi Ya Mabingwa Yaanza

Kikosi cha Yanga SC kimeanza rasmi maandalizi yake ya kuelekea mchezo muhimu wa Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kutua visiwani Zanzibar, ambako kitaweka kambi maalum kwa siku kadhaa. Wachezaji na benchi la ufundi walifika mapema asubuhi na moja kwa moja kuingia katika ratiba ya mazoezi, hatua ambayo imeonyesha dhamira ya klabu hiyo kufanya maandalizi…

Read More

Ukitaka Taarifa Zote za Michezo Ingia Meridianbet Sport Portal

Meridianbet Sportal Portal?, hili ni jukwaa ambalo Meridianbet hulitumia kwaajili ya kuwahabarisha, kuwaburudisha wapenzi wa michezo na Kasino kutoka sehemu mbalimbali huku lengo likiwa ni kuwafanya wapenzi na mashabiki wa soka kujua mambo mbalimbali yanayoendelea ya kimichezo, kasino, usajili, matokeo, na kupata fursa za kubashiri mechi mbalimbali. Kupitia Kampuni hii kubwa ya ubashiri Tanzania, Meridianbet…

Read More