Yanga SC kufanya usajili wa mshambuliaji wa kazi

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Pedro Goncalves inatajwa kwamba wapo sokoni kutafuta mshambuliaji mwingine wa kazi. Katika eneo la ushambuliaji ni Andy Boyel, Prince Dube hawa wamekuwa wakipata nafasi ya kuanza huku Clement Mzize akiwa nje ya uwanja kutokana na maumivu ya goti. Licha ya timu hiyo…

Read More