Skip to content
Saturday, February 21, 2026
  • Simba Yaomboleza Kifo cha Baba wa Abdulrazak Hamza
  • Taarifa Zote za Michezo Njoo Meridianbet Sport Portal
  • Dabi ya Kariakoo Kuhamia Zanzibar Rasmi – TPLB Yafafanua Sababu
  • Meridianbet Yachochea Mapinduzi ya Usafi Kinondoni kwa Msaada wa Mapipa ya Taka

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Simba Yaomboleza Kifo cha Baba wa Abdulrazak Hamza
  • Taarifa Zote za Michezo Njoo Meridianbet Sport Portal
  • Dabi ya Kariakoo Kuhamia Zanzibar Rasmi – TPLB Yafafanua Sababu
  • Meridianbet Yachochea Mapinduzi ya Usafi Kinondoni kwa Msaada wa Mapipa ya Taka

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2025
  • November
  • 4

November 4, 2025

  • Sports

TFF Yamteua Miguel Gamondi Kuinoa Taifa Stars kuelekea AFCON 2025

Saleh4 months ago01 mins

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limemteua Kocha wa Singida Black Stars, Miguel Angel Gamondi raia wa Argentina kuwa Kaimu kocha mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ akichukua mikoba ya Hemed Suleiman ‘Morocco’ ambaye mkataba wake umesitishwa kwa makubaliano ya pande mbili. Taarifa ya leo Novemba 4, 2025 iliyotolewa na TFF…

Read More
  • International
  • Sports

Simba SC Yapangwa Kundi D na Miamba ya Tunisia, Angola na Mali Ligi ya Mabingwa Afrika

Saleh4 months ago01 mins

Wekundu wa Msimbazi Simba wamepangwa Kundi D la Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya Makundi ikiwa na miamba ya Tunisia Espérance Sportive de Tunis, Atlético Petróleos de Luanda ya Angola na Stade Malien ya Mali. Droo ya Michuano hiyo imepangwa leo mchana Mjini Cairo, Misri.

Read More
  • International
  • Sports

Yanga Yapangwa Kundi Moja na Al Ahly, ASFAR na JS Kabylie Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika

Saleh4 months ago01 mins

Mabingwa wa soka ya Tanzania Yanga imepangwa Kundi moja la B la hatua ya Makundi ya Michuano ya Ligi ya Mabingwa ya Afrika na miamba ya soka Afrika Ahly ya Misri. Mbali ya Al Ahly, timu nyingine ambazo imepangwa nazo katika Droo iliyofanyika leo Mjini Cairo, Misri ni ASFAR ya Morocco na JS Kabylie ya…

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2026. Powered By BlazeThemes.