Mechi za Simba SC 2025/26 ndani ya 2025

MENEJA Mkuu wa Simba SC, Dimitar Pantev ameanza kazi kwa ajili ya kuwapa mbinu wachezaji wa timu hiyo kuelekea kwenye mechi za ushindani msimu wa 2025/26. Mchezo wake wa kwanza mbinu zake zinatarajiwa kutumika kimataifa katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika mrithi wa mikoba ya Fadlu Davids ambaye alitua Bongo Oktoba 4 2025. Mchezo…

Read More

Mchezaji bora Septemba ni Diarra wa Yanga SC

Djigui Diarra kipa namba moja wa Yanga SC amekaa langoni katika mechi mbili ambazo ni dakika 180 amechaguliwa kuwa mchezaji bora ndani ya mwezi Septemba. Katika mechi mbili ambazo ni dakika 180 Diarra ameokoa hatari moja pekee ilikuwa katika mchezo dhidi ya Mbeya City Uwanja wa Sokoine dakika ya 89 pigo la Vitalis Mayanga. Katika…

Read More