Kila Dakika ni Fursa ya Ushindi – Cheza Win&Go na Rejeshewa 10% Ukianguka!

Huu ni mwezi wa kujikusanyia pesa tu. Ukiwa na Meridianbet, jua umechagua kushinda kila siku, kwani wanahakikisha kila mwanafamilia wake ananufaika. Na sasa, wamezindua Win&Go, mchezo unaokupa fursa ya kushinda kila baada ya dakika tano. Zaidi ya hapo, unacheza bila hofu ya kupoteza kwani ukikosa, unarejeshewa 10% ya dau lako siku inayofuata.

Wachezaji wote wanaoshiriki Win&Go watapata rejesho la 10% endapo watapata hasara ya kuanzia TSh 1,000 kwa siku. Rejesho hili linaenda hadi TSh 15,000 kwa siku, hivyo unacheza kwa uhakika zaidi bila hofu ya kupoteza. Hii ni ofa kabambe inayokupa nguvu ya kuendelea kucheza na kushinda zaidi.

Win&Go, mchezo huu wa kipekee, unahusisha mipira 48 ambapo unachagua namba 6 hadi 10 kisha mfumo unachezesha droo ya ushindi. Ukibahatika namba zako zikapatikana kwenye droo, unashinda papo hapo. Kinachovutia zaidi ni kwamba droo inachezeshwa kila baada ya dakika tano, hivyo nafasi ya kushinda inajirudia mara nyingi zaidi.

NB: Jisajili na Meridianbet na cheza michezo ya kasino ya mtandaoni upate ushindi kirahisi, Pia ongeza maokoto yako kwa kubashiri michezo mbalimbali yenye ODDS KUBWA. PIGA *149*10# AU tembelea tovuti yao meridianbet.co.tz

Meridianbet inaendelea kuwa kinara wa promosheni na bonasi kubwa, kuanzia mizunguko ya bure, bonasi za ukaribisho kwa wateja wapya, na zawadi kemkem kwa watumiaji wake. Kila siku ni fursa mpya ya kujishindia na Meridianbet, kampuni pekee inayojali wateja wake kwa vitendo.

Usikubali nafasi hii ikupite. Jisajili sasa na Meridianbet kisha shiriki kwenye mchezo huu wa kipekee wa Win&Go. Anza safari yako ya ushindi, jikusanyie maokoto, na uwe sehemu ya familia ya Meridianbet, mabingwa wa michezo ya kubashiri nchini Tanzania.