Romain Folz: Tunazidi kuimarika hatua kwa hatua

ROMAIN Folz, Kocha Mkuu wa Yanga SC amesema kuwa wanazidi kuimarika hatua kwa hatua kadri siku zinavyokwenda kutokana na maandalizi yanayofanyika. Kikosi cha Yanga SC kinatarajiwa kuondoka leo Oktoba 16 2025 kuelekea Malawi kwa maandalizi ya mwisho ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Silver Striker unaotarajiwa kuchezwa Oktoba 18 2025. Folz amebainisha…

Read More