Skip to content
October 8, 2025
  • Rais wa Yanga SC ameteuliwa kuwa Mjumbe wa Kamati ya Mashindano na FIFA
  • Simba SC yatambia magoli mengi, kampeni inashika kasi
  • Yanga na Romuald Rakotondrabe – Karibu Kila Kitu Kimekamilika
  • Yanga Yaongeza Kasi ya Maandalizi ya Mechi za Kimataifa

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2025
  • October
  • 8

October 8, 2025

  • Sports

Rais wa Yanga SC ameteuliwa kuwa Mjumbe wa Kamati ya Mashindano na FIFA

Saleh38 minutes ago02 mins

 Rais wa Klabu ya Yanga SC ambaye ni Mwenyekiti wa Vilabu barani Afrika(ACA), Eng. Hersi Said ameteuliwa na Shirikisho la Soka Duniani, (FIFA) kuwa Mjumbe wa Kamati ya Mashindano yote ya vilabu ya Wanaume Duniani. Nafasi hiyo atadumu nayo kwa muda wa miaka minne kuanzia 2025-2029. Oktoba 2 maamuzi yalichukuliwa na FIFA na taarifa ilitumwa…

Read More
  • Sports

Simba SC yatambia magoli mengi, kampeni inashika kasi

Saleh48 minutes ago48 minutes ago03 mins

UONGOZI wa Simba SC umeweka wazi kuwa wachezaji wa timu hiyo wataongeza kasi kwenye eneo la kufunga magoli kutokana na falsafa mpya ya mwalimu. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC amesema kuwa mwalimu mpya Dimitar Pantev anapenda kuona timu inashambulia kwa kasi jambo litakalokuwa ni furaha kwa Wanasimba. Kwa sasa…

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2025. Powered By BlazeThemes.