Skip to content
Wednesday, March 11, 2026
  • Tanzania Prisons vs Yanga SC kupigwa Tabora?
  • Dodoma Jiji FC vs Azam FC, NBC Premier League
  • Trump Aomba Australia Iwalinde Wachezaji wa Timu ya Wanawake wa Iran
  • FA Cup Robo Fainali: Man City Kukutana na Liverpool, Arsenal vs Southampton

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Tanzania Prisons vs Yanga SC kupigwa Tabora?
  • Dodoma Jiji FC vs Azam FC, NBC Premier League
  • Trump Aomba Australia Iwalinde Wachezaji wa Timu ya Wanawake wa Iran
  • FA Cup Robo Fainali: Man City Kukutana na Liverpool, Arsenal vs Southampton

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2025
  • October
  • 7

October 7, 2025

  • Sports

Yanga na Romuald Rakotondrabe – Karibu Kila Kitu Kimekamilika

Saleh5 months ago01 mins

Taarifa kutoka Jangwani zinasema kuwa kwa sasa kwa kiwango cha 90%, Yanga SC na kocha Romuald Rakotondrabe wamekubaliana kila kitu; kilichobaki ni kocha kusaini mkataba rasmi na kutangazwa rasmi na klabu. Yanga wameweka mezani mkataba wa miaka miwili, huku Romuald akionesha hamu kubwa ya kujiunga na kikosi cha mabingwa hao. Kocha Rakotondrabe ni mtunzi wa…

Read More
  • Sports

Yanga Yaongeza Kasi ya Maandalizi ya Mechi za Kimataifa

Saleh5 months ago01 mins

Kikosi cha Yanga SC kimeendelea na mazoezi yake makali kuelekea maandalizi ya mechi za kimataifa, huku benchi la ufundi likiongeza kasi na nidhamu kambini.

Read More
  • Sports

Liverpool, Arsenal na Man City Vita Mpya ya Ubingwa Wa EPL!

Saleh5 months ago02 mins

Katika msimu huu wa Ligi Kuu ya England, Meridianbet imetangaza Odds za kuvutia kwa timu zinazopigiwa upatu kutwaa ubingwa. Kwa mashabiki wa soka na wataalamu wa kubashiri, huu ni wakati wa kuchukua nafasi mapema kabla hali haijabadilika. Arsenal wameanza msimu kwa kasi ya kuridhisha. Baada ya kumaliza nafasi ya pili msimu uliopita, vijana wa Arteta…

Read More
  • Sports

TFF Yamsimamisha Mchezaji wa Yanga Princess Kupisha Uchunguzi wa Jinsia

Saleh5 months ago01 mins

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limesimamisha kwa muda mchezaji wa klabu ya Yanga Queens, Princess Jeanine Mukandiyisenga, raia wa Rwanda, kupisha uchunguzi wa kina kuhusu jinsia yake. Hatua hii imekuja baada ya sintofahamu kuibuka mitandaoni na katika baadhi ya duru za michezo, ambapo mashabiki na wadau wameanza kuhoji hali halisi ya jinsia ya mchezaji huyo,…

Read More
  • Sports

Meridianbet Yapanua Wigo wa Michezo, Yaleta Watoa Huduma Wapya

Saleh5 months ago5 months ago02 mins

Meridianbet imezidi kupanua upeo wa burudani kwa kuwaletea wateja wake watoa huduma wakubwa wawili wa kimataifa wanaofahamika zaidi kwa ubora wa huduma wanazozitoa, Aspect Gaming na Superspade Games, ambao sasa wanapatikana rasmi ndani ya mfumo wa Meridianbet. Watoa huduma hawa wawili wamedhihirisha ubora wao kwa kipindi kirefu huku kila mmoja akiwa na upekee wake unaomfanya…

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2026. Powered By BlazeThemes.