Yanga na Romuald Rakotondrabe – Karibu Kila Kitu Kimekamilika
Taarifa kutoka Jangwani zinasema kuwa kwa sasa kwa kiwango cha 90%, Yanga SC na kocha Romuald Rakotondrabe wamekubaliana kila kitu; kilichobaki ni kocha kusaini mkataba rasmi na kutangazwa rasmi na klabu. Yanga wameweka mezani mkataba wa miaka miwili, huku Romuald akionesha hamu kubwa ya kujiunga na kikosi cha mabingwa hao. Kocha Rakotondrabe ni mtunzi wa…