Hizi hapa mechi 6 za Romain Folz, Kocha Mkuu Yanga SC

WAKATI tetesi zikieleza kuwa huenda Romain Folz akafutwa kazi ndani ya kikosi cha Yanga SC rekodi zinaonyesha kuwa amekiongoza kikosi kwenye mechi 6. Katika mechi hizo ushini ni mechi tano na aliambua sare mchezo mmoja wa ligi ugenini dhidi ya Mbeya City uliochezwa Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Sababu kubwa inayotajwa kumuondoa Folz kwenye benchi la…

Read More

Kiwanja Kinauzwa – Bagamoyo, Kaole Magambani

Kiwanja kipo Bagamoyo, Kaole Magambani (Nyuma ya Bagamoyo Secondary School) katika eneo tulivu na salama. Umbali wa mita 500 kutoka barabara ya lami Umbali wa mita 500 pekee kutoka ufukweni mwa bahari 📏 Ukubwa na Sifa Eneo lina ukubwa wa 848 sqm (limepimwa rasmi) Tambarare, linafaa kwa ujenzi wa makazi au biashara Ardhi ya kichanga,…

Read More