Yahya Zayd Aongeza Mkataba Mpya Azam FC Mpaka 2027

Klabu ya Azam FC imeweka wazi kuwa imefanikiwa kumsainisha kiungo wake mahiri, Yahya Zayd, mkataba mpya wa miaka miwili. Kwa mujibu wa taarifa ya klabu, nyongeza hiyo itamfanya Zayd kuendelea kuwatumikia Wanalambalamba hadi mwaka 2027, hatua ambayo inaonyesha dhamira ya klabu hiyo kuendelea kuimarisha kikosi chake kwa wachezaji waliodumu na wenye mchango mkubwa. Mkataba huo…

Read More

Nasreddine Nabi kuifundisha Simba SC?

JINA la Nasreddine Nabi aliyewahi kuwa Kocha Mkuu wa Yanga SC na kuipa mataji mawili ya Ligi Kuu Tanzania Bara linatajwa kuwa katika orodha ya wale wanaoipigiwa hesabu kupewa mikoba ya Fadlu Davids ndani ya Simba SC. Kwa sasa Simba SC ipo kwenye mchakato wa kumtafuta kocha mpya baada ya Fadlu Davids kupata changamoto nyingine…

Read More

Simba SC 3-0 Namungo FC, Uwanja wa Mkapa

Simba SC imepata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Namungo FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara ya NBC uliochezwa Uwanja wa Mkapa, Oktoba Mosi 2025. Mabao ya Simba SC yamefungwa na Chamou Karabou dakika ya 43 akitumia pasi ya Joshua Mutale ambaye aligipa kona, dakika ya 60 kupitia kwa Rushine De Reuck ambaye alimalizia…

Read More