Live: Mbeya City 0-0 Yanga SC

Mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Uwanja wa Sokoine Septemba 30 2025 FT: Mbeya City 0-0 Yanga SC Mbeya City inagawana pointi moja na mabingwa watetezi Yanga SC katika mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa mwanzo mwisho. Eneo la kuchezea limekuwa ni changamoto kwa wachezaji wote wa timu zote mbili wenyeji Mbeya City na wageni Yanga…

Read More

Atalanta, Real Madrid, Chelsea na Liverpool Viwanjani Leo – Champions League Yazidi Kunoga

Leo usiku, viwanja vya soka barani Ulaya vitageuka majukwaa ya ufundi, kasi, na ushindi wa kihistoria. Raundi ya pili ya UEFA Champions League inatua kwa kishindo, na Meridianbet inawasha moto wa bashiri, ni wakati wa kuchagua, kubashiri, na kushinda. Baada ya kuchakazwa na PSG, Atalanta wanarudi nyumbani wakitafuta ukombozi. Lakini mbele yao ni Club Brugge…

Read More