Skip to content
September 30, 2025
  • Simba SC na Morocco imeisha, watuma ujumbe wa shukrani
  • Kata ya Usuka, Njombe michezo yapigiwa chapuo na Aliko Delile
  • Mbeya City vs Yanga SC, kiungo wa kazi arejea kazini
  • Singida Black Stars vs Mashujaa FC, KMC Complex Septemba 30

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2025
  • September
  • 30

September 30, 2025

  • Sports

Simba SC na Morocco imeisha, watuma ujumbe wa shukrani

Saleh6 minutes ago6 minutes ago03 mins

KAIMA Kocha Mkuu wa Simba, Hemed Suleiman Morocco hatokuwa tena sehemu ya benchi la ufundi katika michezo ijayo ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Simba SC baada ya kutinga hatua ya pili kwa ushindi wa jumla ya mabao 2-1 dhidi ya Gaborone United ya Botswana itakabiliwa na Nsingizini Hotspurs ya nchini Eswatini. Mchezo wa kwanza Simba SC…

Read More
  • Sports

Kata ya Usuka, Njombe michezo yapigiwa chapuo na Aliko Delile

Saleh21 minutes ago03 mins

Michezo kuwa sehemu ya ajira kwa vijana ni moja ya agenda kubwa inayopigiwa hesabu kukamilika kwa ukubwa katika kata ya Usuka iliyopo wilaya ya Njombe. Kijana mchapakazi Aliko Delile mgombea wa udiwani kata ya Usuka kupitia Chama Cha Mapinduzi, (CCM) amebainisha hayo katika kampeni za uchaguzi unatarajiwa kufanyika Oktoba 29 2025. Aliko Delile ambaye amekuwa…

Read More
  • Sports

Mbeya City vs Yanga SC, kiungo wa kazi arejea kazini

Saleh47 minutes ago46 minutes ago02 mins

KIUNGO Mohamed Doumbia wa Yanga SC anatarajiwa kuwa sehemu ya mchezo wa ligi dhidi ya Mbeya City baada ya kuwa nje kutokana na kutokuwa fiti. Katika mchezo uliopita wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wiliete ya Angola nyota huyo alikosekana Uwanja wa Mkapa. Sababu kubwa ilikuwa ni maamuzi ya benchi la ufundi kuamua kumpumzisha…

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2025. Powered By BlazeThemes.