
Simba SC na Morocco imeisha, watuma ujumbe wa shukrani
KAIMA Kocha Mkuu wa Simba, Hemed Suleiman Morocco hatokuwa tena sehemu ya benchi la ufundi katika michezo ijayo ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Simba SC baada ya kutinga hatua ya pili kwa ushindi wa jumla ya mabao 2-1 dhidi ya Gaborone United ya Botswana itakabiliwa na Nsingizini Hotspurs ya nchini Eswatini. Mchezo wa kwanza Simba SC…