Skip to content
September 21, 2025
  • Simba Ushindi wa ugenini si bahati, ni uthibitisho wa ubora
  • Yanga, Simba, Azam na Singida zakamilisha rekodi ya ushindi Afrika
  • Live: Gaborone United 0-1 Simba SC
  • LIVERPOOL VS EVERTON, UNITED VS CHELSEA – MECHI KALI ZENYE ODDS ZA KIBABE!

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2025
  • September
  • 21

September 21, 2025

  • Sports

Simba Ushindi wa ugenini si bahati, ni uthibitisho wa ubora

Saleh51 minutes ago49 minutes ago02 mins

“Ni kweli, mijadala ipo—Simba haikucheza soka la kuvutia sana dhidi ya Gaborone United, lakini bado ikaibuka na ushindi. Wapo wanaoona kama ni dalili za udhaifu, lakini kuna mambo kadhaa ya kuzingatia kabla ya kutoa hukumu ya haraka. Kwanza, Simba walikabiliana na timu bora ambayo ilikuwa imepumzika na kujiandaa kikamilifu kwa mechi hiyo. Pili, Simba wamekusanya…

Read More
  • International
  • Sports

Yanga, Simba, Azam na Singida zakamilisha rekodi ya ushindi Afrika

Saleh59 minutes ago02 mins

Vilabu vya Tanzania vimeendelea kutamba kwenye michuano ya kimataifa ya Afrika baada ya Simba SC na Singida Black Stars kusajili ushindi muhimu katika michezo yao ya marudiano ya awali. Katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL), Simba SC ilipata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Gaborone United ya Botswana kwenye mchezo uliopigwa mjini Gaborone….

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2025. Powered By BlazeThemes.