ORODHA YA WACHEZAJI WA SIMBA SC WALIOPO BOTSWANA
SIMBA SC baada ya kupoteza Ngao ya Jamii, Septemba 16 2025 mbele ya Yanga SC msafara ulikwea pipa na umefika salama Botswana kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa mwisho wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya awali dhidi ya Gaborone United. Hii hapa orodha ya wachezaji wa Simba SC waliopo Botswana watakuwa na kazi…