
HII HAPA RATIBA YA ANGA LA KIMATAIFA, AZAM FC, SIMBA, YANGA SC, SINGIDA BS
WIKIENDI imechangamka kwenye anga la kimataifa kutokana na timu zote nne kutoka Tanzania kuwa katika kazi. Ijumaa, Uwanja wa 11 de Novembro, Wiliete Sports vs Yanga SC, saa 12:00 jioni. Simba SC Jumamosi Septemba 20 itakuwa uwanjani kumenyana na Gaborone United saa 2:00 usiku. Yanga SC na Simba SC ni katika Ligi ya Mabingwa Afrika…