TAIFA STARS KAZINI LEO

Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars leo Septemba 5 2025 kitakuwa kazini kwenye mchezo dhidi ya Congo Brazzaville ambao ni maalumu kwa ajili ya kufuzu kombe la Dunia 2026 utakaochezwa  Uwanja wa Alphonce Masamba Debat. Septemba 4 2025 Stars ilifanya mazoezi ya mwisho kwenye uwanja wa ambao utatumika kwa mchezo wa leo…

Read More

SAFU MPYA YA UONGOZI SIMBA SC IPO HIVI

MO Dewji amemteua Crescentius Magori kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ndani ya Simba SC hivyo mipango yote itakuwa inaendelea chini ya safu mpya ya uongozi. Mo amebainisha kuwa ameamua kufanya hivyo kutokana na  kuhudumu kwa muda mrefu na majukumu yake akiwa mbali ameone ni muhimu Klabu ya Simba SC ipate kiongozi wa bodi ambaye…

Read More

FOUNTAIN GATE WAPO KAMILI KWA 2025/26

UONGOZI wa Fountain Gate umeweka wazi kuwa upo tayari kwa msimu mpya wa 2025/26 unaotarajiwa kuanza rasmi Septemba 17 2025. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2024/25 haukuwa imara kwa timu hiyo ambayo ilianza kwa kasi mzunguko wa kwanza na iliandika rekodi ya kuwa ndani ya tano bora kwa muda mrefu kisha ikaporomoka mpaka kuwa timu iliyocheza…

Read More