Skip to content
Saturday, April 18, 2026
  • Namungo FC vs Simba SC NBC Premier League
  • Chelsea Wafikiria Kumuuza Alejandro Garnacho Baada ya Msimu Mgumu Stamford Bridge
  • Robo Fainali FA Yaibua Mvutano Mkali; Yanga Yapangwa na JKT, Simba Dhidi ya TRA United
  • ‘Star Boy’ Allan Okello Atinga Kilele cha Pasi za Mabao Ligi Kuu

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Namungo FC vs Simba SC NBC Premier League
  • Chelsea Wafikiria Kumuuza Alejandro Garnacho Baada ya Msimu Mgumu Stamford Bridge
  • Robo Fainali FA Yaibua Mvutano Mkali; Yanga Yapangwa na JKT, Simba Dhidi ya TRA United
  • ‘Star Boy’ Allan Okello Atinga Kilele cha Pasi za Mabao Ligi Kuu

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2025
  • August
  • 28

August 28, 2025

  • Sports

JEMBE JIPYA SIMBA SC LIMETAMBULISHWA NI SELEMAN MWALIMU

Saleh8 months ago8 months ago01 mins

RASMI Simba SC imemtambulisha mshambuliaji mpya ambaye atakuwa katika kikosi hicho kwa msimu ujao unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa ndani ya uwanja. Nyota huyo ambaye ni mshambuliaji wa zamani wa Singida Black Stars alihudumu Fountain Gate kwa mkopo kisha aliuzwa Wydad Casablanca ya Morocco, anarejea Tanzania katika kikosi cha Simba SC. Atakuwa na uzi wa…

Read More
  • Sports

KIVUMBI CHA ULAYA: YOUNG BOYS, BRAGA, DYNAMO KYIV VITANI USIKU WA LEO

Saleh8 months ago03 mins

Je unajua kuwa siku ya leo ushindi wako hauko mbali ukiwa na wakali wa ubashiri Meridianbet?. Basi ni rahisi sana tengeneza mkeka wako wenye mechi uzitakazo na ubeti kijanja sasa. Young Boys Bern baada ya kushinda mechi ya kwanza mechi hii, leo hii atakuwa nyumbani kusaka nafasi ya kufuzu michuano hii dhidi ya Slovan Bratslava…

Read More
  • Sports

HUYU HAPA ATAJWA KUANDALIWA KUBEBA MIKOBA YA ZIMBWE JR SIMBA SC

Saleh8 months ago02 mins

WAKATI kikosi cha Simba SC kikitarajiwa kurejea Tanzania leo Agosti 28 2025 inaelezwa kuwa tayari benchi la ufundi lina jina la mrithi wa mikoba ya Mohamed Hussen Zimbwe Jr ambaye alikuwa nahodha mkuu msimu wa 2024/25. Zimbwe Jr kwa sasa hatakuwa ndani ya Simba SC msimu wa 2025/26 baada ya kupata changamoto mpya ndani ya…

Read More
  • Sports

CARABAO CUP: MAN UNITED YAANGUSHWA NA GRIMSBY TOWN KWA PENALTI 12-11

Saleh8 months ago01 mins

Manchester United imesukumizwa nje ya michuano ya kombe la Carabao (EFL Cup) kufuatia kipigo cha penalti 12-11 dhidi ya timu ya Grimsby Town Fc inayoshiriki Ligi daraja la nne Nchini England kwenye mchezo wa raundi ya pili wa michuano hiyo katika dimba la Blundell Park. FT: Grimsby Town Fc 2-2 Man United (12-11) ⚽ 22’…

Read More
  • Sports

PATA BAHATI YAKO KWENYE MYSTERY MULTIPLIER DROP KUTOKA MERIDIANBET

Saleh8 months ago8 months ago02 mins

Kila mzunguko unaochezwa kwenye kasino mtandaoni unaweza kubadilisha hali yako mara moja. Sasa Meridianbet inakuleta Mystery Multiplier Drop, kampeni ya kipekee ambayo imeibua msisimko mkubwa kwa wapenzi wa kasino. Kutoka Agosti 25 hadi 31, kila mzunguko unavyochezwa unaweza kuwa tiketi yako ya ushindi. Kampeni hii imeandaliwa kwa shauku, ikiwa na zawadi za zaidi ya TZS…

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2026. Powered By BlazeThemes.